Ila ndo kafuupi balaa
Anacheza ila sio main position yake. Amesajiliwa sababu hatuna beki wa kati wa kushoti anayetumia mguu wa kushoto.Chief-Mkwawa hivi huyu Lisandro anaweza kucheza DM kama watu wanavyosemasema?
Achana na sisi wewe,tuache tufurahi japo kwa kidogo tulichonacho,yaani tufungwe tunune,tushinde tunune pia????kwendraaaaaaaa,
Kwanza tungefungwa hizo goli mngetuacha nyie???
Halaf acha kumfananisha ETH na vitu wa ajabu ajabu


tufurahi pamoja
we are happy, happy so happy

Naona mnashangilia magwaya wenuMaguire is back..

Pale kwa magwaya beki hatuna kwakweli
Ila sio lindelof na shaw sio? Mbuzi wa kafara karudiMaguire is back..
Yule akirudi anawaambukiza wenzake ujingaIla sio lindelof na shaw sio? Mbuzi wa kafara karudi
Martial??He came from France..English press says he has no chance..
OfcourseMartial??