Nikuulize kitu mkuu ikiwa tuna shida ya DMF Kwa nini tunasua sua kulipa Kwa FDJ.
Katika kumbukumbu zang tangu Roy Keane aondoke hatujawahi kuwaona kiundo mzuiaji na box to box middle. Baadae tuliwatumia tumia waliopo viungo Kwa kuibia chemistry ya wakina schole na wenzake ikasaidia. Shida ni kununua tulipambana tumnunue alcantara, mudric yaani tunakwama kote. Leo FDJ anasumbua yeye anataka abaki Barca, kocha hamtaki, tajiri Hana shida, sis tuna unyaunya. Yaani sielewi.
Aliyekuwa anaweza kukaa DMF ni matic ameondoka tunalizimisha mactomney, Fred, ambapo Hadi sasa labda mactonomy.
Hatuna box to box. Schole aliibia