Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sikazi fuvu ila ukweli ndo huo mkuu, hakuna msimu hata mmoja ambayo mliwahi kukaa na kuevaluate mapungufu ya team kwa ujumla, badala yake ni mabingwa kupoint mchezaji mmoja mmoja na kumuona kama aliyefelisha team nzima.

Huko nyuma mmewahi kuwalaumu akina de gea, Lukaku, Pogba, Bissaka, Tominay, Maguire,Fred, OLE baada ya hapo mkahamia kwa waingereze na sasa ni Ronaldo.

Sasa kama kikosi chote mmewahi kukilalamikia kwanini usikubali kuwa tuna wachezaji avarage, na kwamba hiyo ndio sababu ya kufeli kwetu sikuzote?

Mpaka sasa hata tukimtoa Ronaldo, bado hakuna uhakika wa kutoboa top four wala kuchukua kombe lolote.

TUKUBALI TU KUWA TUNA TEAM AVARAGE NA TUANZE KUJIJENGA UPYA.
Kweli kabisa.
 
Hata ingekuwa mimi nisingependa kukaa wala kufanya kazi Manchester.

Hali ya hewa ya pale ni mbaya mno kwa waliozoea kukaa maeneo ya joto.
Sio kweli bhn, mbn wachezaji walikuwa wanakaa miaka mingi tu enzi zile? Tatizo ni timu iko hovyo kwa ss.
 
Sikazi fuvu ila ukweli ndo huo mkuu, hakuna msimu hata mmoja ambayo mliwahi kukaa na kuevaluate mapungufu ya team kwa ujumla, badala yake ni mabingwa kupoint mchezaji mmoja mmoja na kumuona kama aliyefelisha team nzima.

Huko nyuma mmewahi kuwalaumu akina de gea, Lukaku, Pogba, Bissaka, Tominay, Maguire,Fred, OLE baada ya hapo mkahamia kwa waingereze na sasa ni Ronaldo.

Sasa kama kikosi chote mmewahi kukilalamikia kwanini usikubali kuwa tuna wachezaji avarage, na kwamba hiyo ndio sababu ya kufeli kwetu sikuzote?

Mpaka sasa hata tukimtoa Ronaldo, bado hakuna uhakika wa kutoboa top four wala kuchukua kombe lolote.

TUKUBALI TU KUWA TUNA TEAM AVARAGE NA TUANZE KUJIJENGA UPYA.
Tuna wachezaji ambao hawauziki alafu tunalaumu watu, timu inalipa lipa hovyo mapesa kibao wachezaji average unategemea nini.
 
Sio kweli bhn, mbn wachezaji walikuwa wanakaa miaka mingi tu enzi zile? Tatizo ni timu iko hovyo kwa ss.
Hao waliokaa ni kina nani? Core ya Timu yetu ilikuwa na watu wa ulaya wengi, Tevez alikimbia, Heinze ndio original Snake hata kabla ya Di maria, kleberson kazingua, Veron kazingua, Forlan kazingua etc.

Wachezaji ambao tulikaa nao kidogo ni Rafael, Fabio, Valencia na Anderson, na hawa wawili Rafael na Fabio wametoka academy hivyo walikulia pale Valencia Tayari alikua na Uzoefu pia tulimtoa wigan, Anderson pekee ndio ali adapt.

Wachezaji wa Ulaya wengi wanafit Man U mfano kutoka Uholanzi tuna malegend wengi, Ufaransa, Ureno etc
 
Hao waliokaa ni kina nani? Core ya Timu yetu ilikuwa na watu wa ulaya wengi, Tevez alikimbia, Heinze ndio original Snake hata kabla ya Di maria, kleberson kazingua, Veron kazingua, Forlan kazingua etc.

Wachezaji ambao tulikaa nao kidogo ni Rafael, Fabio, Valencia na Anderson, na hawa wawili Rafael na Fabio wametoka academy hivyo walikulia pale Valencia Tayari alikua na Uzoefu pia tulimtoa wigan, Anderson pekee ndio ali adapt.

Wachezaji wa Ulaya wengi wanafit Man U mfano kutoka Uholanzi tuna malegend wengi, Ufaransa, Ureno etc
Rafael na fabio walikuwa academy ya mufc ? walisainiwa 2008
 
Hiyo miaka yote mliyokaa bila kombe tatizo lilikuwa ni nani? Kubalini mna liteam libovu tu na sio kuwa mnatafuta wa kulaumu kila msimu ukiisha.

Mlianza na De gea kuwa anaifelisha team, baadae Lukaku, Pogba kisha akaja Rashford..Maguire..mkahamia kwa Fred, Martial..oooh Greenwood mchoyo anaifelisha team...oooh Bissaka hajui kutoa cross anaifelisha team...oooh Mc Tominay anazingua.....mara OLE OUT... Leo hii imefika zamu ya CR7.

Ilimradi tu mtafute kichaka cha kujifichia, sasa kama wachezaji wote mmewahi kuwalalamikia kuna team hapo? Pale Utd hakuna player hata mmoja aliyedumu kwenye kiwango chake ambaye unaweza kusema hata ni player wa maana (kama kwenye team nyingine kubwa) wote ni wa kuungaunga...kuna team hapo??

Tafuteni kiini cha tatizo na sio kupoint mchezaji mmojammoja, siku si nyingi mtaanza kutafuta mwingine wa kulaumu kwakua najua kombe hatupati hata moja na wala topfour hatingii tena msimu ujao.
We mjinga mwenzako kaweka namba halafu wewe unaleta upuuzi shwain
 
We mjinga mwenzako kaweka namba halafu wewe unaleta upuuzi shwain
Hizi stress za UMASIKINI na ugumu wa maisha pelekea ukoo wako na waliokuzaa, hakuna sehemu nimetukana mtu hapa kwahiyo usiniparamie hovyo.

Siwezi kukaa kuanza kutukanana na mtu mwenye akili daraja la tatu.
 
Hizi stress za UMASIKINI na ugumu wa maisha pelekea ukoo wako na waliokuzaa, hakuna sehemu nimetukana mtu hapa kwahiyo usiniparamie hovyo.

Siwezi kukaa kuanza kutukanana na mtu mwenye akili daraja la tatu.
Nawewe weka namba
 
Hizi stress za UMASIKINI na ugumu wa maisha pelekea ukoo wako na waliokuzaa, hakuna sehemu nimetukana mtu hapa kwahiyo usiniparamie hovyo.

Siwezi kukaa kuanza kutukanana na mtu mwenye akili daraja la tatu.
Mmeanza kujenga mnara wa babel
 
Lingard anaenda MLS asee kweli ubishoo kazi.
Mfano De gea anaipenda sana UTD ila sababu kubwa ya Kutaka kurudi spain ni Demu wake, di maria haipendi Manchester pamoja na Familia yake, Lukaku Huyo kaacha mahela kibao Uingereza karudi Italy sababu mfumo haumfai, Lingard timu kibao zinamtaka ikiwemo westham wanataka kumpa hela Ndefu kuliko anayoipata UTD, ila anaenda MLS sababu anaona lifestyle ile inamfaa akakuze Jlingz brand etc.
 
Hivi usajili utatuacha salama??

Dejong vipi mbona anakunyasana. Tuliwaacha wakina matic na ndio walau aikuwa box to box wetu. Wale Watoto waliokwenda Thailand yaani labda wakomae Sana, Kwa sababu punzi zao bado kidogo.
 
Jurgen Klopp’s first question at the press conference:

“The first question I have. Did it look like this yesterday when Man United was here as well?”

Reporters:

“NO.”

20220710_161706.jpg
 
Nilikuwa napitia haka kavideo wachezaji wakiwa kwenye flight Pana jambo nili note...

1. Sion dalili ya mchezaji kujiona wa maana kuliko wengine.
2. Kocha anauhakika akitaka ukileta habari zako za ujuaji kuweka bench.
3. Sioni Nafasi ya Ronaldo katika kuimarisha nidhamu ya timu. Ni hatari kumuweka kwenye 👗 room.
4. Namuona ETH kiongoz atakayeweza kuwasimamia vzr.. nakumbuka solsher aliwanyamazia Sana. ETH anaonekana pamoja na urafiki ni MTU serious. Ref kule ajax antisocial Kwa wachezaji.

 
Mkuu Chief-Mkwawa hivi kuna uwezekano wa ericksen kucheza kwa pamoja na Fernandez ndani ya mechi moja.

Maana naona viwango vyao kama ni vile vile tu wote ni wazuri kwenye kutengeneza nafasi.

Nipe takwimu zako mkuu kama wanaweza cheza pamoja.
Kunbuka mfumonwa ETH ni viungo wengi na washambuliaji wa2, viungo 5 bekin3
 
Jurgen Klopp’s first question at the press conference:

“The first question I have. Did it look like this yesterday when Man United was here as well?”

Reporters:

“NO.”

View attachment 2286247
Rent free
Halaard bana.. yaani uende timu flan Kwa ajili ya kupambana na man utd tu.

 
Back
Top Bottom