Makocha wanaotaka mafanikio huwa wanapenda sana wachezaji ambao wanabahati ya magoli katika mechi muhimu na wenye direct impact kikosini hata akicheza dakika tano tu.
Rashford ni aina hiyo ya mchezaji anaweza asikupe kitu unachokitaka kwa dakika mechi za kawaida ila akakuinua katika mechi zako muhimu.
Katika Career yake Rashford magoli mengi kafunga katika mechi muhimu kama decider wa hatima ya timu, vikosi vyenye kupigania makombe vina aina hiyo ya wachezaji.
Chelsea 1. Marco's Alonso Kai Harvetz.
Man City Riyadh Mahrez, Ikay Gundogan
Liverpool. Origi, Sadio Mane
Tottenham Lucas Moura, Son.
Bayern. Kingsley Coman, Thomas Muller.
PSG Mappe,
Rashford anaangukia kwenye kapu hili la wachezaji ambao kwenye pressure kubwa wanaturn out kuwa messiah.
Kipindi cha Ferguson kila msimu tulikuwa angalau na mchezaji wa aina hii mmoja.
Era 1999. Alikuwa Ole Guner Solkjaer.
2008 tuliposhinda UEFA alikuwa ni Andeson.
2010 alikuwa ni Chicharito.
Nimekuwekea mifano mingi kiasi cha kugusa hata hard working players ila keyword ni mchezaji kuwa na bahati ya kukupa kile unachokitaka katika mazingira ambayo hutegemei akupe.