D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
hapanaHuyu Cathy c ni mke wa Ferguson?
hapanaHuyu Cathy c ni mke wa Ferguson?
Jamaa kasema miaka 40 mzee...Kuna hii pia.View attachment 2243519
Kosa langu liko wapi hapo kuleta habari au? Fyi mm ni msomi mzuri wa mathematics usinichukulie poa kabisa kaka be careful.Jamaa kasema miaka 40 mzee...
Ndio Hesabu janga la taifa au?
Mmeanza Sasasiku zote mdomo wenu unawaponza ...cheki kama huyu kigagura
![]()
Mhuu Anderson hajawahi kuwa na calibre hiyo. Ukiondoa Ole na Javier labda kidogooo huyo MarcusMakocha wanaotaka mafanikio huwa wanapenda sana wachezaji ambao wanabahati ya magoli katika mechi muhimu na wenye direct impact kikosini hata akicheza dakika tano tu.
Rashford ni aina hiyo ya mchezaji anaweza asikupe kitu unachokitaka kwa dakika mechi za kawaida ila akakuinua katika mechi zako muhimu.
Katika Career yake Rashford magoli mengi kafunga katika mechi muhimu kama decider wa hatima ya timu, vikosi vyenye kupigania makombe vina aina hiyo ya wachezaji.
Chelsea 1. Marco's Alonso Kai Harvetz.
Man City Riyadh Mahrez, Ikay Gundogan
Liverpool. Origi, Sadio Mane
Tottenham Lucas Moura, Son.
Bayern. Kingsley Coman, Thomas Muller.
PSG Mappe,
Rashford anaangukia kwenye kapu hili la wachezaji ambao kwenye pressure kubwa wanaturn out kuwa messiah.
Kipindi cha Ferguson kila msimu tulikuwa angalau na mchezaji wa aina hii mmoja.
Era 1999. Alikuwa Ole Guner Solkjaer.
2008 tuliposhinda UEFA alikuwa ni Andeson.
2010 alikuwa ni Chicharito.
Nimekuwekea mifano mingi kiasi cha kugusa hata hard working players ila keyword ni mchezaji kuwa na bahati ya kukupa kile unachokitaka katika mazingira ambayo hutegemei akupe.
Nimekubali broKosa langu liko wapi hapo kuleta habari au? Fyi mm ni msomi mzuri wa mathematics usinichukulie poa kabisa kaka be careful.
Trust the processSiku Rangnickeledeon anakubali kwenda Austria nikasema timu inaenda shimoni zaidi kwakua hata anayetakiwa kua mshauri hana imani na project nikaambiwa mshauri anaweza akawa kocha huku anashauri.
Leo yametimia. Kwanza nilikua sahihi siku zote nilivyosema united shida ni makocha na siyo wachezaji, timu ikiwa na world class players watano tu hiyo timu itasumbua nje ndani sasa united inao 7 au zaidi lakini performance ni comedy.
Nyinyi kocha wa kuja hapo alitakiwa awe Gasperini anakupa assignment unamletea drama anakubonda. Muulizeni Papu Gomez anamjua huyo mtu
manchester united hawana process wala project. Hii ishu ya rangnick kuanzia kusajiliwa kwake na kuondoka kwake ina majibu tosha.Trust the process
hahahahaaa ni yeyeee. Kwani alisema kweli au ni fununu za waingerezaHivi Joel Glazer ndo aliyesema Martial ni Pele ajae?
hahahahaaa ni yeyeee. Kwani alisema kweli au ni fununu za waingereza

...Nahisi ni fununu tu kipindi kile Special one Mourinho alipotaka kumpiga mnada Martial ili amvute Perisic akapigwa block.
Andreas perreira anatarajiwa kurudi manchester united
atamkuta kiungo mwenzake wa dunia MctominayAke kutusaliamia kisha arudi alikotoka
Msimu ujao hata europa conference cup hamuendi 😂😂😂😂Ligi sasa zimeisha, msimu ujao ETH atawanyoodha sana wapinzani. Rashford na Sancho watakuwa on form, CR7 atapokea pass nyingi sana nzuri. Yani msimu ujao kama hatujabeba treble sijui.
Tukutane msimu ujao.
GGMU