Mimi kwangu mkuu Fred ni 1st eleven Material, na sifa ya Midfield ni combination ya kukaba watu na kukaba nafasi, moja ya kitu kinacho tugharimu sasa hivi midfield wetu wote wanakaba watu (Fred na Mctominay) na unakuta Nafasi Kibao zipo wazi.
VDB tumemuona, sifa yake ni positioning, FDJ na Ruben wote wapo Ovyo kwenye Kukaba watu, hivyo kwangu hio Midfield haiwezi ku function. Na tunarudia kosa lile lile
Fred panga pangua Timu ya Taifa Brazil alongside Casemiro tunaona shughuli yake, Hata msimu huu umeona akipewa Ruhusa na RR ya kukabia Juu anavyowin mipira na immediate kutoa pasi za magoli.
Pia Timber sio RB, Pau Toress kama anakuja ni Alternative wa Maguire maana specific nimeona ETH anataka Beki wa Kati kushoto.