D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
hahahahaaa ni yeyeee. Kwani alisema kweli au ni fununu za waingerezaHivi Joel Glazer ndo aliyesema Martial ni Pele ajae?
hahahahaaa ni yeyeee. Kwani alisema kweli au ni fununu za waingerezaHivi Joel Glazer ndo aliyesema Martial ni Pele ajae?
hahahahaaa ni yeyeee. Kwani alisema kweli au ni fununu za waingereza

...Nahisi ni fununu tu kipindi kile Special one Mourinho alipotaka kumpiga mnada Martial ili amvute Perisic akapigwa block.
Andreas perreira anatarajiwa kurudi manchester united
atamkuta kiungo mwenzake wa dunia MctominayAke kutusaliamia kisha arudi alikotoka
Msimu ujao hata europa conference cup hamuendi 😂😂😂😂Ligi sasa zimeisha, msimu ujao ETH atawanyoodha sana wapinzani. Rashford na Sancho watakuwa on form, CR7 atapokea pass nyingi sana nzuri. Yani msimu ujao kama hatujabeba treble sijui.
Tukutane msimu ujao.
GGMU
Kwenye football huwa sipendi sana kutumia assumptions kama hii ya kwako.timu yetu imepoteana ndo mana kila mechi ilionekana ya muhimu hata isiyo na umuhimu unasemea penalty ya psg ? hata lukaku amgefunga
Kaangalia mechi nyingi ambazo alicheza Anderson hasa pale alipokuwa akitokea SubstsMhuu Anderson hajawahi kuwa na calibre hiyo. Ukiondoa Ole na Javier labda kidogooo huyo Marcus
Mkuu, yajayo yanafurahisha sana. Timu pinzani zitakuwa zinaogopa kucheza na sisiMmeanza Sasasiku zote mdomo wenu unawaponza ...cheki kama huyu kigagura
![]()
Rashford form yake itarudi kwa kasi. Atakuwa moto msimu ujaoRashford ? ntahamia liver
Kile kituo cha marekani?Peter Drury amehamia NBC...
Tutammiss sana next season..
Source?official: paul pogba hatokuwa mchezaji wa manchester united kwa msimu wa 2022/23
Kama ambavyo huamini de Jong kuja United unapaswa kuamini pia anaweza kuja. Taarifa za usajili unapaswa kuzichukua tu kama zilivyo maana kuna za kweli na uongo. Hakuna anayejua muafaka wa de Jong zaidi yake mwenyewe na timu zote mbili.Hivi hii timu inapambana kumsajili De Jong wa nn?, Wakati haitaki timu, wamekosa wachezaji wengine wa kawaida wa kusajili?