Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Andy O'boyle ndiye deputy football director wa manchester united, kabla ya uteuzi huo alikuwa anafanya kazi ya head of elite performance wa premier league. Kazi yake ilihusu zaidi utoaji wa ushauri kwa vilabu juu ya swala zima la recruitment ya wachezaji, analysis n.k. Karibu manchester united Andy
 
Ligi sasa zimeisha, msimu ujao ETH atawanyoodha sana wapinzani. Rashford na Sancho watakuwa on form, CR7 atapokea pass nyingi sana nzuri. Yani msimu ujao kama hatujabeba treble sijui.

Tukutane msimu ujao.

GGMU
Msimu ujao hata europa conference cup hamuendi 😂😂😂😂
 
timu yetu imepoteana ndo mana kila mechi ilionekana ya muhimu hata isiyo na umuhimu unasemea penalty ya psg ? hata lukaku amgefunga
Kwenye football huwa sipendi sana kutumia assumptions kama hii ya kwako.
 
Kazi hasa ya Technical Director ni ipi ambayo anaishikilia Darren Fletcher?

Ina utofauti upi na kazi ya Director of Football?
 
Kwaheri pogba daima sitakukumbuka.
Screenshot_20220601-145441.jpg
 
Hivi hii timu inapambana kumsajili De Jong wa nn?, Wakati haitaki timu, wamekosa wachezaji wengine wa kawaida wa kusajili?
Kama ambavyo huamini de Jong kuja United unapaswa kuamini pia anaweza kuja. Taarifa za usajili unapaswa kuzichukua tu kama zilivyo maana kuna za kweli na uongo. Hakuna anayejua muafaka wa de Jong zaidi yake mwenyewe na timu zote mbili.

Leo ndiyo nimeona kwa Fabrizio United wameanza mazungumzo, hata de Jong kwenye mahojiano yake alisema hakuna taarifa ya uhamisho aliyopokea kutoka kwa timu yake zaidi ya yeye kusikia tetesi. Habari nyingi zinaandikwa kuhusu United kwasababu ndiyo zinauza, pia de Jong aliulizwa kama aliwasiliana na ten Hag na akasema hata akiongea naye hawezi kusema lakini tayari kuna vyombo mbalimbali vimesharipoti wawili hao wana mawasiliano kuhusu uhamisho.

de Jong ndiyo #1 target kwenye midfield msimu huu ndiyo maana wana-push, ishu ya de Jong kupendelea kubaki Barca ameweka wazi ndiyo ilikuwa klabu ya ndoto zake lakini amesema hata akihama timu hawezi kwenda na mawazo kwamba hawezi kucheza kwa 100% kwenye timu mpya. Barca wanataka pesa, United wanatafuta agreements. I see it happening, wengi hatukutegemea move ya Messi na ilitokea.
 
Back
Top Bottom