Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20220529-163744.jpg
 
Mkuu mie naona EtH anapenda technically gifted players wenye work rate kubwa lakini ukiangalia Rashford zaidi ya mbio sioni kingine hapo.
Nahisi atamtema jumla au asiwe starter.
Makocha wanaotaka mafanikio huwa wanapenda sana wachezaji ambao wanabahati ya magoli katika mechi muhimu na wenye direct impact kikosini hata akicheza dakika tano tu.

Rashford ni aina hiyo ya mchezaji anaweza asikupe kitu unachokitaka kwa dakika mechi za kawaida ila akakuinua katika mechi zako muhimu.

Katika Career yake Rashford magoli mengi kafunga katika mechi muhimu kama decider wa hatima ya timu, vikosi vyenye kupigania makombe vina aina hiyo ya wachezaji.

Chelsea 1. Marco's Alonso Kai Harvetz.

Man City Riyadh Mahrez, Ikay Gundogan

Liverpool. Origi, Sadio Mane

Tottenham Lucas Moura, Son.

Bayern. Kingsley Coman, Thomas Muller.

PSG Mappe,

Rashford anaangukia kwenye kapu hili la wachezaji ambao kwenye pressure kubwa wanaturn out kuwa messiah.

Kipindi cha Ferguson kila msimu tulikuwa angalau na mchezaji wa aina hii mmoja.

Era 1999. Alikuwa Ole Guner Solkjaer.

2008 tuliposhinda UEFA alikuwa ni Andeson.

2010 alikuwa ni Chicharito.

Nimekuwekea mifano mingi kiasi cha kugusa hata hard working players ila keyword ni mchezaji kuwa na bahati ya kukupa kile unachokitaka katika mazingira ambayo hutegemei akupe.
 
Naangalia hapa fainali ya Championship playoffs huyu James Garner abaki next season. Kwenye set pieces hatari sana, Nottingham wanaongoza baada ya dogo kupiga mpira mzuri na Huddersfield kujifunga.

Bado kuna attack aliizima kwa kufanya tackling ya maana nje ya box tu kuokoa jahazi.
 
Waste of time kusema kweli, na Tetesi za mwishoni kwamba Jamaa alikuwa anamuachia Assitant hazisaidii.

Naona Za Chini ya Kapeti kuna uwezekano Mazungumzo baina ya ETH na RR yamefanya RR aachie ngazi.
In think on the field Ralf Rangnick alifeli sana, but the environment ambayo ameikuta timu ilikuwa ina matatizo mengi sana, kuna ujinga mkubwa ulikuwa unafanyika na management hawakuchukua hatua yeyote.Kwenye interview zake alisaidia sana ku-expose makosa/matatizo yalifanywa huko nyuma na ndio maana nilisema huyu jamaa huenda akafukuzwa kabla mkataba wake haujaisha unless wampige mkwara akae kimya
 
In think on the field Ralf Rangnick alifeli sana, but the environment ambayo ameikuta timu ilikuwa ina matatizo mengi sana, kuna ujinga mkubwa ulikuwa unafanyika na management hawakuchukua hatua yeyote.Kwenye interview zake alisaidia sana ku-expose makosa/matatizo yalifanywa huko nyuma na ndio maana nilisema huyu jamaa huenda akafukuzwa kabla mkataba wake haujaisha unless wampige mkwara akae kimya
Murtough anampenda sana RR, sidhani kama angemfukuza.

kuna hii tweet



Pengine ETH hataki kuwa na mabosi Wengi ama ana views Tofauti.

Na pia kuna Mambo mengi nyuma ya pazia baadae tutajua tu, Hasa RR alivyokubali kuwa Kocha wa Austria.
 
Ligi sasa zimeisha, msimu ujao ETH atawanyoodha sana wapinzani. Rashford na Sancho watakuwa on form, CR7 atapokea pass nyingi sana nzuri. Yani msimu ujao kama hatujabeba treble sijui.

Tukutane msimu ujao.

GGMU
Mmeanza Sasa siku zote mdomo wenu unawaponza ...cheki kama huyu kigagura
 
Ligi sasa zimeisha, msimu ujao ETH atawanyoodha sana wapinzani. Rashford na Sancho watakuwa on form, CR7 atapokea pass nyingi sana nzuri. Yani msimu ujao kama hatujabeba treble sijui.

Tukutane msimu ujao.

GGMU
😂😂😂 dah, mmeshaanza
 
Waste of time kusema kweli, na Tetesi za mwishoni kwamba Jamaa alikuwa anamuachia Assitant hazisaidii.

Naona Za Chini ya Kapeti kuna uwezekano Mazungumzo baina ya ETH na RR yamefanya RR aachie ngazi.
Kwamba RR alikuwa na nia ya kuendelea ila ETH kasema hamuhitaji?
 
Ligi sasa zimeisha, msimu ujao ETH atawanyoodha sana wapinzani. Rashford na Sancho watakuwa on form, CR7 atapokea pass nyingi sana nzuri. Yani msimu ujao kama hatujabeba treble sijui.

Tukutane msimu ujao.

GGMU
Rashford ? ntahamia liver
 
Naangalia hapa fainali ya Championship playoffs huyu James Garner abaki next season. Kwenye set pieces hatari sana, Nottingham wanaongoza baada ya dogo kupiga mpira mzuri na Huddersfield kujifunga.

Bado kuna attack aliizima kwa kufanya tackling ya maana nje ya box tu kuokoa jahazi.
Mctominay mwengine
 
Back
Top Bottom