Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

..
20220603_092818.jpg
 
Henderson sio? Huyu ni sweeper na anafaa huu mfumo, ila ana quality ya kutufikisha tunapotaka? Hili sijui.
Dogo ana potential sana. Kama unakumbuka last season wakati De gea ameenda Spain, kipindi mtoto wake anazaliwa(na ndio kipindi hicho De gea alikuwa na makosa mengi). Henderson alianza kucheza, na hata De gea aliporudi England dogo aliendelea kucheza. Hata final ya Europa nadhani alitakiwa kucheza, Ole akashindwa kumuamini. Dogo ana footwork nzuri na pia ni sweeper, hata shot-stopping ability ni nzuri(Rejea kiwango alichoonyesha akiwa Sheffield kwa mkopo). Nadhani ilitakiwa msimu huu ndo awe Goalkeeper wa kwanza, shida ni Ole kukosa uthubutu.. Timu zingine huwa haziogopi kufanya maamuzi magumu,, kama mnakumbuka kipindi kile Chelsea walivoamua kuachana na Cech halafu Courtois ndo akawa chaguo la kwanza
 
Dogo ana potential sana. Kama unakumbuka last season wakati De gea ameenda Spain, kipindi mtoto wake anazaliwa(na ndio kipindi hicho De gea alikuwa na makosa mengi). Henderson alianza kucheza, na hata De gea aliporudi England dogo aliendelea kucheza. Hata final ya Europa nadhani alitakiwa kucheza, Ole akashindwa kumuamini. Dogo ana footwork nzuri na pia ni sweeper, hata shot-stopping ability ni nzuri(Rejea kiwango alichoonyesha akiwa Sheffield kwa mkopo). Nadhani ilitakiwa msimu huu ndo awe Goalkeeper wa kwanza, shida ni Ole kukosa uthubutu.. Timu zingine huwa haziogopi kufanya maamuzi magumu,, kama mnakumbuka kipindi kile Chelsea walivoamua kuachana na Cech halafu Courtois ndo akawa chaguo la kwanza
Ni sawa, ila ana kiwango cha Man U? Hilo ndio swali muhimu. Courtois alikua Afletico baada ya De gea kuondoka na kuja Man U, Alikuwa Bonge la kipa toka Mdogo amecheza Mechi za kutosha la Liga na ulaya kabla ya kurudi chelsea.

Henderson ni sweeper mzuri kuliko De gea ila hakaribii sweeper wazuri duniani Kina Neur, Ederson, Allison etc
 
Ofcourse watatu Tayari

Mata.
Matic
Pogba


Hapa niliona nafuu baada ya Pogba kuondoka, sikumpenda Sana. Behind the scenes hakuwa MTU mzuri. Mwingine ni goal keeper(DEA gea) napendelea Zaid hernderson anajibidissha, na martial sipendi waendelee kuwepo, na martial aishie hukohuko na wengine walio sikiliza mawazo ya kugomea timu, Nina wasiwasi na bissaka, Maguire ndio kabsaaa aende, Hawa watoto waliobaki mkwara wa kocha utatosha. Ronaldo abaki
Fabrizio karipoti muda si mrefu Eric Bailly na Axel Tuanzabe ndio wanaofatia
 
Dogo ana potential sana. Kama unakumbuka last season wakati De gea ameenda Spain, kipindi mtoto wake anazaliwa(na ndio kipindi hicho De gea alikuwa na makosa mengi). Henderson alianza kucheza, na hata De gea aliporudi England dogo aliendelea kucheza. Hata final ya Europa nadhani alitakiwa kucheza, Ole akashindwa kumuamini. Dogo ana footwork nzuri na pia ni sweeper, hata shot-stopping ability ni nzuri(Rejea kiwango alichoonyesha akiwa Sheffield kwa mkopo). Nadhani ilitakiwa msimu huu ndo awe Goalkeeper wa kwanza, shida ni Ole kukosa uthubutu.. Timu zingine huwa haziogopi kufanya maamuzi magumu,, kama mnakumbuka kipindi kile Chelsea walivoamua kuachana na Cech halafu Courtois ndo akawa chaguo la kwanza
Kuna wakati nikimuona solchiler kama ana Gundu akitarajiwa kuiinua united Ile ya sir Alex Kwa kuwa na presha, alianza vema kule PSG, Kwa Liverpool most of league Giant tuliwapiga, ana alikuwa na tabia kama za Mzee kuwaamini wachezaji,badala yake akaanza upuuzi. Akawaacha wadogo, akang'ang'ania wazee wakamuangusha.

Ile man UTD ilivyokuwa inashinda dkk moja mwisho ikapotea
 
Nimemtazama

De Jong
Ngoro. Na
Ndidi

Jamani de jong Hana kitu Kwa Hawa wawili. De jong hatufai united.

Nimeipenda style ya uchezaji ya Wilfred ndidi. Inatufaa. Na Ngoro nae Yuko poa tatizo Umri
 
Nimemtazama

De Jong
Ngoro. Na
Ndidi

Jamani de jong Hana kitu Kwa Hawa wawili. De jong hatufai united.

Nimeipenda style ya uchezaji ya Wilfred ndidi. Inatufaa. Na Ngoro nae Yuko poa tatizo Umri
Ngolo kante na Fred baba mmoja mama mmoja, na Ndidi anaweza tufaa ila yeye peke yake hawezi kusolve Tatizo letu la midfield hasa Mipira Kuchelewa kufikia Wachezaji wa mbele kama Bruno na kuwafanya warudi nyuma kukaba.

FDJ anasolve asilimia kubwa ya matatizo yetu, na Umemkosea sana Heshima kufikiri kwamba hana kitu kuliko hao wawili, FDJ ni World class.
 
Ngolo kante na Fred baba mmoja mama mmoja, na Ndidi anaweza tufaa ila yeye peke yake hawezi kusolve Tatizo letu la midfield hasa Mipira Kuchelewa kufikia Wachezaji wa mbele kama Bruno na kuwafanya warudi nyuma kukaba.

FDJ anasolve asilimia kubwa ya matatizo yetu, na Umemkosea sana Heshima kufikiri kwamba hana kitu kuliko hao wawili, FDJ ni World class.
Mkuu nimemuangalia Kwa WiGo Moana Sana
 
Mkuu nimemuangalia Kwa WiGo Moana Sana
Umeangalia kwa vigezo vyako na sio uwezo wake.

Muangalie hapa

Ukiona kitu kimefika 90 ujue ni top Quality ya Huyo mchezaji. De jong anakupa
-angalia kwenye carrying, jamaa anakokota sana mpira, ana uwezo wa kuukokota mpira mahala parefu Bila kupokonywa. Na anakokota kwenye Attacking 3rd kwa maana karibu na lango la wapinzani.
-ana uwezo mkubwa wa kupiga pasi hasa pasi ndefu, ambayo ni quality ya mchezaji anayekaa Deep, pia ni mzuri kutoa pass hata under pressure, hawa ni type ya wachezaji ambao mkikabwa mnampa yeye pass afanye mambo yake.
-pia kwenye upigaji mashuti, utengenezaji nafasi na ufungaji yupo vizuri.

Vitu ambazo hajui
-si mkabaji mzuri
-hawin mipira ya Vichwa

Hivyo huyu jamaa ana slot vizuri kama replacement ya Pogba, ambae atacheza deep akiwa na Mkabaji pembeni yake. Fikiria kama Gundogan pale Man City.
 
Ngolo kante na Fred baba mmoja mama mmoja, na Ndidi anaweza tufaa ila yeye peke yake hawezi kusolve Tatizo letu la midfield hasa Mipira Kuchelewa kufikia Wachezaji wa mbele kama Bruno na kuwafanya warudi nyuma kukaba.

FDJ anasolve asilimia kubwa ya matatizo yetu, na Umemkosea sana Heshima kufikiri kwamba hana kitu kuliko hao wawili, FDJ ni World class.
FDJ akija middle yetu itakuwaje?..Tutaingia tena sokoni kutafuta DM si ndio?
 
FDJ akija middle yetu itakuwaje?..Tutaingia tena sokoni kutafuta DM si ndio?
Hapo kati wanakuja wachezaji kuanzia wawili msimu huu.

Priority za Man Utd ni hapo kati kwanza, inafuata beki wa kati na striker.

Usishangae wakaja wachezaju wawili au watatu wa hapo kati.
 
Back
Top Bottom