shakwenya
Senior Member
- Mar 5, 2017
- 177
- 303
Hauzwi huyo, ndiyo atakuwa mchezaji wa mwisho kuondoka kwenye kikosi alichokiacha SAF.Leteni Tu ujuaji wenu , muuzeni de gea
Dogo ana potential sana. Kama unakumbuka last season wakati De gea ameenda Spain, kipindi mtoto wake anazaliwa(na ndio kipindi hicho De gea alikuwa na makosa mengi). Henderson alianza kucheza, na hata De gea aliporudi England dogo aliendelea kucheza. Hata final ya Europa nadhani alitakiwa kucheza, Ole akashindwa kumuamini. Dogo ana footwork nzuri na pia ni sweeper, hata shot-stopping ability ni nzuri(Rejea kiwango alichoonyesha akiwa Sheffield kwa mkopo). Nadhani ilitakiwa msimu huu ndo awe Goalkeeper wa kwanza, shida ni Ole kukosa uthubutu.. Timu zingine huwa haziogopi kufanya maamuzi magumu,, kama mnakumbuka kipindi kile Chelsea walivoamua kuachana na Cech halafu Courtois ndo akawa chaguo la kwanzaHenderson sio? Huyu ni sweeper na anafaa huu mfumo, ila ana quality ya kutufikisha tunapotaka? Hili sijui.
Ni sawa, ila ana kiwango cha Man U? Hilo ndio swali muhimu. Courtois alikua Afletico baada ya De gea kuondoka na kuja Man U, Alikuwa Bonge la kipa toka Mdogo amecheza Mechi za kutosha la Liga na ulaya kabla ya kurudi chelsea.Dogo ana potential sana. Kama unakumbuka last season wakati De gea ameenda Spain, kipindi mtoto wake anazaliwa(na ndio kipindi hicho De gea alikuwa na makosa mengi). Henderson alianza kucheza, na hata De gea aliporudi England dogo aliendelea kucheza. Hata final ya Europa nadhani alitakiwa kucheza, Ole akashindwa kumuamini. Dogo ana footwork nzuri na pia ni sweeper, hata shot-stopping ability ni nzuri(Rejea kiwango alichoonyesha akiwa Sheffield kwa mkopo). Nadhani ilitakiwa msimu huu ndo awe Goalkeeper wa kwanza, shida ni Ole kukosa uthubutu.. Timu zingine huwa haziogopi kufanya maamuzi magumu,, kama mnakumbuka kipindi kile Chelsea walivoamua kuachana na Cech halafu Courtois ndo akawa chaguo la kwanza
Fabrizio karipoti muda si mrefu Eric Bailly na Axel Tuanzabe ndio wanaofatiaOfcourse watatu Tayari
Mata.
Matic
Pogba
Hapa niliona nafuu baada ya Pogba kuondoka, sikumpenda Sana. Behind the scenes hakuwa MTU mzuri. Mwingine ni goal keeper(DEA gea) napendelea Zaid hernderson anajibidissha, na martial sipendi waendelee kuwepo, na martial aishie hukohuko na wengine walio sikiliza mawazo ya kugomea timu, Nina wasiwasi na bissaka, Maguire ndio kabsaaa aende, Hawa watoto waliobaki mkwara wa kocha utatosha. Ronaldo abaki
Na amechukua Players' player of the yearLeteni Tu ujuaji wenu , muuzeni de gea
Mzungumzie na christiano Ronaldo
Kuna wakati nikimuona solchiler kama ana Gundu akitarajiwa kuiinua united Ile ya sir Alex Kwa kuwa na presha, alianza vema kule PSG, Kwa Liverpool most of league Giant tuliwapiga, ana alikuwa na tabia kama za Mzee kuwaamini wachezaji,badala yake akaanza upuuzi. Akawaacha wadogo, akang'ang'ania wazee wakamuangusha.Dogo ana potential sana. Kama unakumbuka last season wakati De gea ameenda Spain, kipindi mtoto wake anazaliwa(na ndio kipindi hicho De gea alikuwa na makosa mengi). Henderson alianza kucheza, na hata De gea aliporudi England dogo aliendelea kucheza. Hata final ya Europa nadhani alitakiwa kucheza, Ole akashindwa kumuamini. Dogo ana footwork nzuri na pia ni sweeper, hata shot-stopping ability ni nzuri(Rejea kiwango alichoonyesha akiwa Sheffield kwa mkopo). Nadhani ilitakiwa msimu huu ndo awe Goalkeeper wa kwanza, shida ni Ole kukosa uthubutu.. Timu zingine huwa haziogopi kufanya maamuzi magumu,, kama mnakumbuka kipindi kile Chelsea walivoamua kuachana na Cech halafu Courtois ndo akawa chaguo la kwanza
Ngoro Ndo Nani?Nimemtazama
De Jong
Ngoro. Na
Ndidi
Jamani de jong Hana kitu Kwa Hawa wawili. De jong hatufai united.
Nimeipenda style ya uchezaji ya Wilfred ndidi. Inatufaa. Na Ngoro nae Yuko poa tatizo Umri
Ngolo MkuuNgoro Ndo Nani?
Ngolo kante na Fred baba mmoja mama mmoja, na Ndidi anaweza tufaa ila yeye peke yake hawezi kusolve Tatizo letu la midfield hasa Mipira Kuchelewa kufikia Wachezaji wa mbele kama Bruno na kuwafanya warudi nyuma kukaba.Nimemtazama
De Jong
Ngoro. Na
Ndidi
Jamani de jong Hana kitu Kwa Hawa wawili. De jong hatufai united.
Nimeipenda style ya uchezaji ya Wilfred ndidi. Inatufaa. Na Ngoro nae Yuko poa tatizo Umri
Mkuu nimemuangalia Kwa WiGo Moana SanaNgolo kante na Fred baba mmoja mama mmoja, na Ndidi anaweza tufaa ila yeye peke yake hawezi kusolve Tatizo letu la midfield hasa Mipira Kuchelewa kufikia Wachezaji wa mbele kama Bruno na kuwafanya warudi nyuma kukaba.
FDJ anasolve asilimia kubwa ya matatizo yetu, na Umemkosea sana Heshima kufikiri kwamba hana kitu kuliko hao wawili, FDJ ni World class.
Umeangalia kwa vigezo vyako na sio uwezo wake.Mkuu nimemuangalia Kwa WiGo Moana Sana
FDJ akija middle yetu itakuwaje?..Tutaingia tena sokoni kutafuta DM si ndio?Ngolo kante na Fred baba mmoja mama mmoja, na Ndidi anaweza tufaa ila yeye peke yake hawezi kusolve Tatizo letu la midfield hasa Mipira Kuchelewa kufikia Wachezaji wa mbele kama Bruno na kuwafanya warudi nyuma kukaba.
FDJ anasolve asilimia kubwa ya matatizo yetu, na Umemkosea sana Heshima kufikiri kwamba hana kitu kuliko hao wawili, FDJ ni World class.
Kama Tetesi ni za Kuamini ETH anataka Two world Class midfielders, kwa sasa Tunahusishwa na FDJ na Ngolo.FDJ akija middle yetu itakuwaje?..Tutaingia tena sokoni kutafuta DM si ndio?
Zaidi ya kumuangalia Youtube sidhani kama umeshaangalia mechi za kutosha FDJ anacheza.Mkuu nimemuangalia Kwa WiGo Moana Sana
Hapo kati wanakuja wachezaji kuanzia wawili msimu huu.FDJ akija middle yetu itakuwaje?..Tutaingia tena sokoni kutafuta DM si ndio?