Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama ambavyo huamini de Jong kuja United unapaswa kuamini pia anaweza kuja. Taarifa za usajili unapaswa kuzichukua tu kama zilivyo maana kuna za kweli na uongo. Hakuna anayejua muafaka wa de Jong zaidi yake mwenyewe na timu zote mbili.

Leo ndiyo nimeona kwa Fabrizio United wameanza mazungumzo, hata de Jong kwenye mahojiano yake alisema hakuna taarifa ya uhamisho aliyopokea kutoka kwa timu yake zaidi ya yeye kusikia tetesi. Habari nyingi zinaandikwa kuhusu United kwasababu ndiyo zinauza, pia de Jong aliulizwa kama aliwasiliana na ten Hag na akasema hata akiongea naye hawezi kusema lakini tayari kuna vyombo mbalimbali vimesharipoti wawili hao wana mawasiliano kuhusu uhamisho.

de Jong ndiyo #1 target kwenye midfield msimu huu ndiyo maana wana-push, ishu ya de Jong kupendelea kubaki Barca ameweka wazi ndiyo ilikuwa klabu ya ndoto zake lakini amesema hata akihama timu hawezi kwenda kwa mawazo kwamba siwezi kucheza kwa 100% kwenye timu mpya. Barca wanataka pesa, United wanatafuta agreements. I see it happening, wengi hatukutegemea move ya Messi na ilitokea.
De jong naona kama midfielder mwepesi sana kwa ligi ya England tunaitaji kiungo kama ruben neves wa Wolverhampton yule hawa de jong anautofauti gani na fred jamani naona hata fred ni mkali kwa de jong.
 
De jong naona kama midfielder mwepesi sana kwa ligi ya England tunaitaji kiungo kama ruben neves wa Wolverhampton yule hawa de jong anautofauti gani na fred jamani naona hata fred ni mkali kwa de jong.
Fred kwenye kikosi cha kwanza cha EtH hata namba anaweza asipate, mchezo wa possession hauhitaji mapepe miguuni. de Jong siyo mchezaji wa kumfananisha na Fred. EtH hachezi na lone CDM so obviously kutakuwa na ujio wa DM pia. Yani kiuhalisia hata Bruno asipoangalia namba 10 anaweza kucheza VdB.
 
Fred kwenye kikosi cha kwanza cha EtH hata namba anaweza asipate, mchezo wa possession hauhitaji mapepe miguuni. de Jong siyo mchezaji wa kumfananisha na Fred. EtH hachezi na lone CDM so obviously kutakuwa na ujio wa DM pia. Yani kiuhalisia hata Bruno asipoangalia namba 10 anaweza kucheza VdB.
Hii ni EPL sio Dutch Eredivisie..

Pale katikati tunahitaji composure na ufundi lakini pia na fujo nyingi..kucheza na VdB na De jong ni kujitakia maumivu mapema tu..

Sioni nafasi ya VdB kushine kwenye hii EPL..kaenda Everton tu hata namba alikuwa akipata kwa mbinde.
 
Hii ni EPL sio Dutch Eredivisie..

Pale katikati tunahitaji compusure na ufundi lakini pia na fujo nyingi..kucheza na VdB na De jong ni kujitakia maumivu mapema tu..

Sioni nafasi ya VdB kushine kwenye hii EPL..kaenda Everton tu hata namba alikuwa akipata kwa mbinde.
Kwa mfano akija de Jong unadhani kwenye CDM atafaa nani mwingine pamoja na namba 10?
 
Hii safisha ikifika kwa Jones nitafurahi nasubiri tu hapa hata Maguire pia fresh tu.
Ingawa sipendi tunachelewa kusajiri sana tunaanza mambo yale yale msimu unaanza tumesajiri mtu mmoja tu.
Maguire ndio hatumpendi..lakini kuondoka this summer ni ngumu kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano..very impossible.
 
Kwa mfano akija de Jong unadhani kwenye CDM atafaa nani mwingine pamoja na namba 10?
Mimi sijaona haja ya kutaka kumsajili De Jong..

Mimi nataka tusajili DM kitasa(World class kabisa)..then tucheze na two 8's Fred + Fernandes..Fred akicheza juu ni mtu mwingine kabisa na pia agressiveness yake itasaidia kiungo kibalance vizuri.
 
Hii ni EPL sio Dutch Eredivisie..

Pale katikati tunahitaji composure na ufundi lakini pia na fujo nyingi..kucheza na VdB na De jong ni kujitakia maumivu mapema tu..

Sioni nafasi ya VdB kushine kwenye hii EPL..kaenda Everton tu hata namba alikuwa akipata kwa mbinde.
Hili swala sionag uhalisia kbsaa angalia Timu ka City viuongo wake wengi soft tu Rodri ka bernado, odegard wanacheza kivp de Jong ashindwe
 
Hili swala sionag uhalisia kbsaa anhalia Tim ka City viuongo wake wengi soft aro Rodriguez a aye cheza apo n simple tu ka bernado, odegard wanacheza kivp de Jong ashindwe
Ukisema tu viungo wa City ni soft pekee utakuwa unakosea..Nyuma yao yupo Rodri na hao kina Bernado wanaficha mali(mpira) kuliko kawaida..huwezi kumlinganisha Bernado na VdB au De Jong linapokuja swala la kuficha mpira na kutunza possession,plus kukokota.
 
If Ronaldo loves Man Utd He should find another club and leave, or TEN should go for a forced sell, find a club, agree fee, collect money and push him out.

Otherwise he is going to be a symbol of the PAST and a stumbling stone.
 
Ukisema tu viungo wa City ni soft pekee utakuwa unakosea..Nyuma yao yupo Rodri na hao kina Bernado wanaficha mali(mpira) kuliko kawaida..huwezi kumlinganusha Bernado na VdB au De Jong linapokuja swala la kuficha mpira na kutunza possession,plus kukokota.
De jong pia mzur kuficha mali kwa mech chache nilizo muona
 
Captain la DUNIA NZIMA
tapatalk_1653379727512.jpeg
 
Back
Top Bottom