De jong naona kama midfielder mwepesi sana kwa ligi ya England tunaitaji kiungo kama ruben neves wa Wolverhampton yule hawa de jong anautofauti gani na fred jamani naona hata fred ni mkali kwa de jong.Kama ambavyo huamini de Jong kuja United unapaswa kuamini pia anaweza kuja. Taarifa za usajili unapaswa kuzichukua tu kama zilivyo maana kuna za kweli na uongo. Hakuna anayejua muafaka wa de Jong zaidi yake mwenyewe na timu zote mbili.
Leo ndiyo nimeona kwa Fabrizio United wameanza mazungumzo, hata de Jong kwenye mahojiano yake alisema hakuna taarifa ya uhamisho aliyopokea kutoka kwa timu yake zaidi ya yeye kusikia tetesi. Habari nyingi zinaandikwa kuhusu United kwasababu ndiyo zinauza, pia de Jong aliulizwa kama aliwasiliana na ten Hag na akasema hata akiongea naye hawezi kusema lakini tayari kuna vyombo mbalimbali vimesharipoti wawili hao wana mawasiliano kuhusu uhamisho.
de Jong ndiyo #1 target kwenye midfield msimu huu ndiyo maana wana-push, ishu ya de Jong kupendelea kubaki Barca ameweka wazi ndiyo ilikuwa klabu ya ndoto zake lakini amesema hata akihama timu hawezi kwenda kwa mawazo kwamba siwezi kucheza kwa 100% kwenye timu mpya. Barca wanataka pesa, United wanatafuta agreements. I see it happening, wengi hatukutegemea move ya Messi na ilitokea.
Mkuu kama unapenda tetesi upitage kwenye page za fabrizo romano yupo mitandao yote ya jamii tetesi zake asilimia 85 uwa kweli.Wazee leteni uchanguzi, tetesi na chchte kuhusu united....napenda sana kusoma mnachoandika
Fred kwenye kikosi cha kwanza cha EtH hata namba anaweza asipate, mchezo wa possession hauhitaji mapepe miguuni. de Jong siyo mchezaji wa kumfananisha na Fred. EtH hachezi na lone CDM so obviously kutakuwa na ujio wa DM pia. Yani kiuhalisia hata Bruno asipoangalia namba 10 anaweza kucheza VdB.De jong naona kama midfielder mwepesi sana kwa ligi ya England tunaitaji kiungo kama ruben neves wa Wolverhampton yule hawa de jong anautofauti gani na fred jamani naona hata fred ni mkali kwa de jong.
Yes hichohicho chenye licence ya kurusha PL huko
The long wait is over.official: paul pogba hatokuwa mchezaji wa manchester united kwa msimu wa 2022/23
Hii ni EPL sio Dutch Eredivisie..Fred kwenye kikosi cha kwanza cha EtH hata namba anaweza asipate, mchezo wa possession hauhitaji mapepe miguuni. de Jong siyo mchezaji wa kumfananisha na Fred. EtH hachezi na lone CDM so obviously kutakuwa na ujio wa DM pia. Yani kiuhalisia hata Bruno asipoangalia namba 10 anaweza kucheza VdB.
Kwa mfano akija de Jong unadhani kwenye CDM atafaa nani mwingine pamoja na namba 10?Hii ni EPL sio Dutch Eredivisie..
Pale katikati tunahitaji compusure na ufundi lakini pia na fujo nyingi..kucheza na VdB na De jong ni kujitakia maumivu mapema tu..
Sioni nafasi ya VdB kushine kwenye hii EPL..kaenda Everton tu hata namba alikuwa akipata kwa mbinde.
Maguire ndio hatumpendi..lakini kuondoka this summer ni ngumu kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano..very impossible.Hii safisha ikifika kwa Jones nitafurahi nasubiri tu hapa hata Maguire pia fresh tu.
Ingawa sipendi tunachelewa kusajiri sana tunaanza mambo yale yale msimu unaanza tumesajiri mtu mmoja tu.
Mimi sijaona haja ya kutaka kumsajili De Jong..Kwa mfano akija de Jong unadhani kwenye CDM atafaa nani mwingine pamoja na namba 10?
Hili swala sionag uhalisia kbsaa angalia Timu ka City viuongo wake wengi soft tu Rodri ka bernado, odegard wanacheza kivp de Jong ashindweHii ni EPL sio Dutch Eredivisie..
Pale katikati tunahitaji composure na ufundi lakini pia na fujo nyingi..kucheza na VdB na De jong ni kujitakia maumivu mapema tu..
Sioni nafasi ya VdB kushine kwenye hii EPL..kaenda Everton tu hata namba alikuwa akipata kwa mbinde.
Ukisema tu viungo wa City ni soft pekee utakuwa unakosea..Nyuma yao yupo Rodri na hao kina Bernado wanaficha mali(mpira) kuliko kawaida..huwezi kumlinganisha Bernado na VdB au De Jong linapokuja swala la kuficha mpira na kutunza possession,plus kukokota.Hili swala sionag uhalisia kbsaa anhalia Tim ka City viuongo wake wengi soft aro Rodriguez a aye cheza apo n simple tu ka bernado, odegard wanacheza kivp de Jong ashindwe
De jong pia mzur kuficha mali kwa mech chache nilizo muonaUkisema tu viungo wa City ni soft pekee utakuwa unakosea..Nyuma yao yupo Rodri na hao kina Bernado wanaficha mali(mpira) kuliko kawaida..huwezi kumlinganusha Bernado na VdB au De Jong linapokuja swala la kuficha mpira na kutunza possession,plus kukokota.
Atleast kidogo De Jong..ila sio VdB.De jong pia mzur kuficha mali kwa mech chache nilizo muona