Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna huyu dogo anaitwa gernacho dogo ni hatari sana aise sijui kwanini hapati sana nafasi kikosi cha wakubwa.
20220511_223354.jpg
 
mgogoro wa mourinho dhidi ya paul pogba ndio ulimfaidisha scott mctominay, jose alimpandisha kutoka academy. uwezo wa mctominay ni wa kuchezea vilabu kama burnley na si kuwa regular starter wa manchester united. Tumerudi nyuma sana.
Chelsea wana kikosi kizuri sana na wanatoa wachezaji wengi sana kwenye timu za taifa.

Ilihali Manchester hata kwenye Olympics tu kwenye timu ya taifa walikuwa na mchezaji mmoja tu ambaye hakucheza hata mechi moja.
 
Ndio maana mimi huwa siwapendi wachezaji wa kiingereza wana price tag kubwa sana hapo bado hujaweka mshahara wake ambao hauwezi kupungua 350k/weekly. Pia Harry mwezi July anatimiza umri wa miaka 29.

Nyuma Cristiano Ronaldo mwenye 37, Benzema 33, Lewandowski 33 kuna zaidi ya asilimia 90 ya wachezaji wenye umri wao ambao hawawezi kucheza ktk peak hiyo hawa ni exceptional cases. Hawa ni outliers ktk distribution curve yaani ktk kila kundi la wachezaji wenye umri zaidi ya miaka 28 ni wachezaji wachache sana huwa wanacheza ktk ubora wao.

Longterm transfer strategy nzuri inatakiwa tujikite kutumia pesa nyingi kwa wachezaji wenye umri wa miaka 20 ~ 24. Mchezaji yeyote mwenye umri zaidi ya miaka 28 anapaswa aje bure kama free agent na sio kulipa pesa. Tu-deal na mshahara wake tu na sio transfer fee. Just imagine kama EtH anapewa pound 200M sioni kama ni busara kuleta wachezaji wawili ktk timu yenye uhitaji wa wachezaji angalau 6.
Unamnunua Harry Kane unamuacha Patrick Schick ?
 
Lakini pia ni wachezaji wachache sana nje na waingereza ambao wamekua wakitupa mafanikio all the way.. With exception ya Ronaldo, Berba (atleast) na RVP ni mchezaji gani non English aliyekuja na kufanikiwa?
Ungetaja waingereza waliotupa mafanikio with exception of class 92 ,ferdinand na rooney ndo ujue jinsi walivyo vimeo pamoja na wingi wao pale utd
 
Ngoja leo tuamie kwa watoto labda watatufurahisha maana hawa wakubwa sasa ni homa tu..

Leo kuna Final ya FA ya under18 kati ya Manchester United na Nottingham forest .

Wenzetu mpaka vimechi vya watoto vina mashabiki wa kutosha maana hii mechi watu 65000 wamenunua ticket kwaiyo tutegemee uwanja kujaa kama kawaida.View attachment 2220332
Huyu dogo Garnacho msimu ujao awe first 11.. Mali hii aisee, dogo anaujua
 
Lakini pia ni wachezaji wachache sana nje na waingereza ambao wamekua wakitupa mafanikio all the way.. With exception ya Ronaldo, Berba (atleast) na RVP ni mchezaji gani non English aliyekuja na kufanikiwa?
Reecruitment yeyote inakupa kile unachostahili.

Ukifanya vibaya lazima upate magarasa.

Bissaka, Maguire ni costful signings za hovyo United ilizifanya.

Huwezi toa £100M kwa Rice wakati kuna maelfu ya cheaper options.

Proper recruitment itatupa watu sahihi kama wakati wa SAF.

Kuliko kumnunua huyo Kane bora tubaki na Ronaldo.
 
Msimu uliopita pia mlisema msimu huu mtaupiga mwingi mpaka kumwagika, naona mnaelekea kuumwaga carabao hukooooooo
United siyo kwamba ina kikosi kibovu kuna vitu tu havipo sawa na kwa ujio wa EtH kuna matumaini kidogo tunayo pia kuna wachezaji baadhi wanaturudisha nyuma: uwezo mdogo kuliko matarajio, viwango kushuka, mbinu za kocha hazifanyi kazi pamoja na uvivu.

Just imagine midfield yetu kama tukimpata de Jong na DM mwingine atakayependekezwa na kocha.

BRUNO
de JONG
FRED
(Any possible DM)

Hao wote niliowataja Bruno kiwango kimeshuka ila ni mchezaji anayejituma tofauti na mchezaji kama POGBA (lazima aondoke) FRED ni mchezaji mzuri na anajituma sana uwanjani na kuna position akicheza anafanya vizuri sana tofauti na McTominay.

Kitu pekee ninachoomba United dirisha la usajili waepukane na hawa overpriced English players na wageukie cheap options ambazo kocha atapendekeza. Naamini ujio wa de Jong hautafuta usajili wa DM, CB, ST na Winger ambaye kwa tetesi ni Antony.
 
Back
Top Bottom