Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,104
- 53,606
Achana na source za kipuuuzi.Sportblind,Kuhusu Laimer
Na Santi aouna, RR anamtaka Mukiele Ingali ETH hajaonesha uhitaji wa huyo mtu.
Tafuta tier 1 reporters wa transfer window usome taarifa zao.
Hakuna sehemu Rangnick ameweka wazi aina ya wachezaji anaowataka.
Yeye alisema aliandaa list ya wachezaji anaowa-recommend na ameshampa ETH ila maamuzi ya mwisho yatakuwa kwa ETH. Na atasaidia kufanya mawasiliano na wachezaji watakaotakiwa kununuliwa.
Hakuna sehemu amesema anamtaka mchezaji gani. Just speculation.
Again, achana na vijarida uchwara.






