Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,916
- 2,638
Ten Haag ameridhika na full backs wetu??Ameandika james ducker na waandishi wengine: john murtough, erik ten hag, mitchell van de na steven mcClaren wamefanya kikao mjini amsterdam. Taarifa zinasema ten hag amependekeza usajili wa midfield wawili, beki wa kati na mshambuliaji. Eneo la kiungo main target ni frankie de jong. James ducker ni chanzo cha uhakika kwa habari za manchester united.
Tunaenda kufanya makosa kwa kweli..Sijajua kwanini United inapoteza pesa kumsajili De Jong
Yupo Scott msijari. De jong anaingia badala ya Pogba.Tunaenda kufanya makosa kwa kweli..
Tunahitaji kiungo anayeweza kucheza kwa nguvu pale katikati..huyu de jong pasi zake za rula hazitatusaidia kwenye hii ligi ya Uingereza when DM position is concerned.
Sorry.Yupo Scott msijari. De jong anaingia badala ya Pogba.
Ulitaka wamsajili Declan Rice? Muingereza mpumbavu?
Achana na source za kipuuuzi.Sportblind,Kuhusu Laimer
Na Santi aouna, RR anamtaka Mukiele Ingali ETH hajaonesha uhitaji wa huyo mtu.
issue Sio united kucheza Europa kwani ishacheza Sana , issue ni Ronaldo kucheza EuropaNatamani Man U ingekosa nafasi ya ushiriki Europa ili ijikite na mapambano ya EPL na mashindano mengine ya ndani. Japo ni biashara hayo mashindano ya Europa league yana ufedheha Fulani kwa timu kama Man U. Tena hasa tukienda straight


Kushiriki Europa ni muhimu sana haijalishi udogo wa mashindano. Kwa rebuild itakayofanyika timu itahitaji mechi nyingi zaidi. Hata kama ukiwa shabiki inabidi ukubaliane tu na ukweli kwamba United ipo levels za Europa League usiangalie jina la Manchester United limebeba historia kubwa kiasi gani angalia tu hali iliyopo sasa, tunastahili kucheza Europa.Natamani Man U ingekosa nafasi ya ushiriki Europa ili ijikite na mapambano ya EPL na mashindano mengine ya ndani. Japo ni biashara hayo mashindano ya Europa league yana ufedheha Fulani kwa timu kama Man U. Tena hasa tukienda straight
So what? That does not justify that you are losing the league, this year.
hayo maeneo mengineyo nadhani itategemea zaidi na wachezaji watakao uzwa na si vyenginevyo. Mpaka sasa hakuna dalili za kuondoka kwa luke shaw, telles, dalot na wan bissaka.Ten Haag ameridhika na full backs wetu??
wanaweza kutokumjumuisha kwenye kikosi cha europa kama walivyofanya barcelona kwa dani alves. Je ronaldo mwenyewe atataka iwe hivyo?issue Sio united kucheza Europa kwani ishacheza Sana , issue ni Ronaldo kucheza Europa![]()