Sijajua kwanini United inapoteza pesa kumsajili De JongUnited wanapaswa kusajili physical strong DM similar to Kante,Bisouma,Rodri,Fabinho.Xhaka
kwani de jong ni kwa ajili dm au nafasi ya pogbaSijajua kwanini United inapoteza pesa kumsajili De Jong
Kocha anataka waholanzi awajaze man u,Siyo De Jong tu kuna de light ,Timber,DumfriesSijajua kwanini United inapoteza pesa kumsajili De Jong
Wapi Rangnick amesema anamtaka Laimer?Nahisi huyu lazima atatofautina tu na RR maana RR atataka mchezaji flani asajiriwe na ETH anataka mwingine.Mvurugano tayari hapo.
Mmoja anamtaka De jong mwingine anamtaka Laimer
Ulitaka wamsajili Declan Rice? Muingereza mpumbavu?Sijajua kwanini United inapoteza pesa kumsajili De Jong
Sikuizi unahasira Sana mkuu! Zamani tulizoea unatuletea kosi la dunia, nn kimekukuta!?Ulitaka wamsajili Declan Rice? Muingereza mpumbavu?
😅😅😅 the best 007Sikuizi unahasira Sana mkuu! Zamani tulizoea unatuletea kosi la dunia, nn kimekukuta!?
Hvi ni Nani anayeaminiwa sa hv kwenye sajili? Gengen pressing RR au ETH... Naona kila mara wanagonganaSportblind,Kuhusu Laimer
Na Santi aouna, RR anamtaka Mukiele Ingali ETH hajaonesha uhitaji wa huyo mtu.
Kwasasa tuna mpango wa kusajili watu wenye akili.the best 007
Kwa points za man u
Ligi ya bongo anakua anaongoza ligi
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni





YesKwasasa tuna mpango wa kusajili watu wenye akili.View attachment 2222418