Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 22,329
- 33,715
Sijajua kwanini United inapoteza pesa kumsajili De JongUnited wanapaswa kusajili physical strong DM similar to Kante,Bisouma,Rodri,Fabinho.Xhaka
Sijajua kwanini United inapoteza pesa kumsajili De JongUnited wanapaswa kusajili physical strong DM similar to Kante,Bisouma,Rodri,Fabinho.Xhaka
kwani de jong ni kwa ajili dm au nafasi ya pogbaSijajua kwanini United inapoteza pesa kumsajili De Jong
Kocha anataka waholanzi awajaze man u,Siyo De Jong tu kuna de light ,Timber,DumfriesSijajua kwanini United inapoteza pesa kumsajili De Jong
Wapi Rangnick amesema anamtaka Laimer?Nahisi huyu lazima atatofautina tu na RR maana RR atataka mchezaji flani asajiriwe na ETH anataka mwingine[emoji1787].Mvurugano tayari hapo.
Mmoja anamtaka De jong mwingine anamtaka Laimer
Ulitaka wamsajili Declan Rice? Muingereza mpumbavu?Sijajua kwanini United inapoteza pesa kumsajili De Jong
Sikuizi unahasira Sana mkuu! Zamani tulizoea unatuletea kosi la dunia, nn kimekukuta!?Ulitaka wamsajili Declan Rice? Muingereza mpumbavu?
😅😅😅 the best 007Sikuizi unahasira Sana mkuu! Zamani tulizoea unatuletea kosi la dunia, nn kimekukuta!?
Hvi ni Nani anayeaminiwa sa hv kwenye sajili? Gengen pressing RR au ETH... Naona kila mara wanagonganaSportblind,Kuhusu Laimer
Na Santi aouna, RR anamtaka Mukiele Ingali ETH hajaonesha uhitaji wa huyo mtu.
Kwasasa tuna mpango wa kusajili watu wenye akili.[emoji28][emoji28][emoji28] the best 007
Kwa points za man u
Ligi ya bongo anakua anaongoza ligi
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
YesKwasasa tuna mpango wa kusajili watu wenye akili.View attachment 2222418
[emoji86]Kwasasa tuna mpango wa kusajili watu wenye akili.View attachment 2222418
Ten Haag ameridhika na full backs wetu??Ameandika james ducker na waandishi wengine: john murtough, erik ten hag, mitchell van de na steven mcClaren wamefanya kikao mjini amsterdam. Taarifa zinasema ten hag amependekeza usajili wa midfield wawili, beki wa kati na mshambuliaji. Eneo la kiungo main target ni frankie de jong. James ducker ni chanzo cha uhakika kwa habari za manchester united.
Tunaenda kufanya makosa kwa kweli..Sijajua kwanini United inapoteza pesa kumsajili De Jong
Yupo Scott msijari. De jong anaingia badala ya Pogba.Tunaenda kufanya makosa kwa kweli..
Tunahitaji kiungo anayeweza kucheza kwa nguvu pale katikati..huyu de jong pasi zake za rula hazitatusaidia kwenye hii ligi ya Uingereza when DM position is concerned.
Sorry.Yupo Scott msijari. De jong anaingia badala ya Pogba.
Ulitaka wamsajili Declan Rice? Muingereza mpumbavu?