Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ile taarifa nilifanikiwa kuisoma asubuhi kutoka kwa mtaalamu david ornstein, nafikiri yeye ndiye muandishi wa mwanzoni kuripoti taarifa hiyo. Kwa nini awe erling haaland na si harry kane?. Any tips.
Huu usajili Pep Guardiola hakuhusishwa moja kwa moja alikuwa mshauri zaidi nafikiri umelenga mkakati wa muda mrefu wa City.

Pep mkataba wake unaisha mwakani. Habari za chini chini zinasema Ferran Sorriano na Txiki wameanza mazungumzo ya awali na Luis Enrique.
 
Huu usajili Pep Guardiola hakuhusishwa moja kwa moja alikuwa mshauri zaidi nafikiri umelenga mkakati wa muda mrefu wa City.

Pep mkataba wake unaisha mwakani. Habari za chini chini zinasema Ferran Sorriano na Txiki wameanza mazungumzo ya awali na Luis Enrique.
ninachokiona usajili wa erling haaland kuelekea manchester city utawarudisha manchester united kwenye mbio za kumuwania harry kane. Mwezi mmoja uliopita muandishi laurie whittwell (tier 1) aliripoti taarifa inayowahusu viongozi wa manchester united kuwalenga wachezaji wawili au watatu wanaotarajia kuwasajili msimu huu na kati yao ni declan rice au kelvin phillips, harry kane au darwin nunez. Laurie anasema licha ugumu wa dili hizo lakini tayari viongozi wa manchester united wakiongozwa na ed woodward walishafanya mazungumzo na daniel levy juu ya usajili wa harry kane tokea msimu uliopita lakini kikwazo ilikuwa ni dili la sancho. Kama city watakwenda kwa haaland basi united watajaribu bahati yao kwanza kwa kane na wakati huo jorge mendez alishachukua tenda ya kufanya dili la darwin nunez kuelekea tottenham hotspurs au manchester united na hapo itategemea na dili la kane.
 
Laurie whitwell akaendelea kusema: ndani ya manchester united mchakato wa usajili unafanywa kwa njia ya veto, kwa maana ya scouting pamoja na bodi wanakuwa na target zao na kocha naye anakuwa na target zake. Hizo pande mbili zinajadiliana na baadae kufanya mchakato wa usajili na mchezaji atakayepatikana ndiye huyo na tukumbuke mchezaji anapatikana kwa factors nyingi, hapo ndipo zinapokuja zile hadithi za kocha fulani kaletewa mchezaji ambaye si chaguo lake. Mfano mdogo rejeeni usajili wa donny van de beek chini ya ole. Donny alisajiliwa kwa sababu ya urahisi wa mchakato wake wa kusajiliwa na si kwa sababu ya mwalimu ndio maana hakumpa nafasi. Vile vile rejeeni usajili wa fred chini ya mourinho.
 
Kwa mfano tujiulize kwa nini jina la tchouameni halitajwi mara kwa mara kwenye maandishi ya hawa waandishi mashuhuri wa kuripoti habari za manchester united kama vile james ducker, howson, stone, whitwell na wengineo. Kwa nini jina lake lihusishwe zaidi na liverpool pamoja na real madrid. Mbona declan rice anatajwa sana, ruben neves anatajwa kwa sababu ya uzoefu wake wa premier league na si target lengwa hivyo upo uwezekano wa kuwa backup ya declan rice au kelvin phillips. si ajabu watu wa ndani kabisa ya manchester united wakawa hawamtambui tchouameni. Scouting yetu ni bora sana lakini decisions zinanachelewa kufanywa na kwa usahihi.
 
Cha umuhimu tuombe ten hag awe mgumu ila kinyume na hapo tujiandae na cycles ile ile ya makocha kulalamikia usajili baada ya kufukuzwa kazi. Target tajwa za ten hag ni jurrien timber na winga kutoka brazil pia anachezea ajax. Hawa watakwenda kuunganishwa na wale wa bodi.
 
Nagelsmann anamtaka konrad laimer kutoka leipzig kwa euro millio 15 hadi 30 tu. Technical si mbora sana lakini ni pressing machine. Ni DM na ana miaka 24 tu, jiulizeni kwa nini jina lake halitajwi sana ukicompare na declan rice au kelvin phillips. Bila ya shaka huyu amependekezwa na ralf rangnick kama ilivyo kwa nkunku christopher.
 
ninachokiona usajili wa erling haaland kuelekea manchester city utawarudisha manchester united kwenye mbio za kumuwania harry kane. Mwezi mmoja uliopita muandishi laurie whittwell (tier 1) aliripoti taarifa inayowahusu viongozi wa manchester united kuwalenga wachezaji wawili au watatu wanaotarajia kuwasajili msimu huu na kati yao ni declan rice au kelvin phillips, harry kane au darwin nunez. Laurie anasema licha ugumu wa dili hizo lakini tayari viongozi wa manchester united wakiongozwa na ed woodward walishafanya mazungumzo na daniel levy juu ya usajili wa harry kane tokea msimu uliopita lakini kikwazo ilikuwa ni dili la sancho. Kama city watakwenda kwa haaland basi united watajaribu bahati yao kwanza kwa kane na wakati huo jorge mendez alishachukua tenda ya kufanya dili la darwin nunez kuelekea tottenham hotspurs au manchester united na hapo itategemea na dili la kane.
Japo siwakubali waingereza ila Harry Kane ni proven player wa EPL.

Darwin au Erling hakuna uhakika kama wanaweza ku-deliver au lah.
 
Tuna dirisha gumu sana, kila pembe itaangaliwa manchester united. Hivi hawa wahuni wamebadilika kweli au ndio biashara ile ile?.. Kiupande wangu sina matumaini yeyote, nimejikatia tamaa baada ya kushuhudia failure ya aibu kwa msimu huu.
EtH akipewa backup nzuri ya uongozi pamoja na sisi mashabiki bila kuwa na kiraru cha kutaka kurejea haraka haraka ktk ubora wetu tunaweza kufanya jambo ktk kujenga msingi wa awali.

Dirisha hili lina wachezaji wengi sana wazuri wa bei chee kila idara kuliko msimu wowote ule toka nimeanza kuangalia mpira ila hawaimbwi ktk vinywa vya watu. Hawa niliowa-list hapa chini wote wana umri wa miaka 20 ~ 23 na bei zao hakuna anayeweza kuzidi hata Euro 50M.

Beki wa kati: Alessandro Bastoni, Nico Schlotterbeck, Josko Gvardiol

Beki wa kushoto: Borna Sosa, Tyrell Malacia

Viungo: Boubacar Kamara (free agent, 150k/weekly), Matheus Nunes
 
EtH akipewa backup nzuri ya uongozi pamoja na sisi mashabiki bila kuwa na kiraru cha kutaka kurejea haraka haraka ktk ubora wetu tunaweza kufanya jambo ktk kujenga msingi wa awali.

Dirisha hili lina wachezaji wengi sana wazuri wa bei chee kila idara kuliko msimu wowote ule toka nimeanza kuangalia mpira ila hawaimbwi ktk vinywa vya watu. Hawa niliowa-list hapa chini wote wana umri wa miaka 20 ~ 23 na bei zao hakuna anayeweza kuzidi hata Euro 50M.

Beki wa kati: Alessandro Bastoni, Nico Schlotterbeck, Josko Gvardiol

Beki wa kushoto: Borna Sosa, Tyrell Malacia

Viungo: Boubacar Kamara (free agent, 150k/weekly), Matheus Nunes
schlotterback ameshasajiliwa na borussia dortmund, ujio wake pamoja na sule kunatengeneza mazingira ya kuondoka kwa manuel akanji anayewaniwa na manchester united. pia kuna pau torres naye analengwa ila khofu yangu ipo kwenye ushindani dhidi ya chelsea wanaokwenda kupoteza walinzi wakati watatu.
 
EtH akipewa backup nzuri ya uongozi pamoja na sisi mashabiki bila kuwa na kiraru cha kutaka kurejea haraka haraka ktk ubora wetu tunaweza kufanya jambo ktk kujenga msingi wa awali.

Dirisha hili lina wachezaji wengi sana wazuri wa bei chee kila idara kuliko msimu wowote ule toka nimeanza kuangalia mpira ila hawaimbwi ktk vinywa vya watu. Hawa niliowa-list hapa chini wote wana umri wa miaka 20 ~ 23 na bei zao hakuna anayeweza kuzidi hata Euro 50M.

Beki wa kati: Alessandro Bastoni, Nico Schlotterbeck, Josko Gvardiol

Beki wa kushoto: Borna Sosa, Tyrell Malacia

Viungo: Boubacar Kamara (free agent, 150k/weekly), Matheus Nunes
boubacar kamara alizungumzwa sana dirisha la january, tusubiri tuone kama tutajishughulisha kutafuta saini. Kuhusu harry kane nachukizwa na thamani yake inayoegemea paundi million 100 au zaidi na ukijumlisha umri wake naingiwa na khofu japo kuwa lewandowski na benzema wametuondoa kwenye ile dhana ya kuwapuuza wachezaji wenye miaka 30.
 
boubacar kamara alizungumzwa sana dirisha la january, tusubiri tuone kama tutajishughulisha kutafuta saini. Kuhusu harry kane nachukizwa na thamani yake inayoegemea paundi million 100 au zaidi na ukijumlisha umri wake naingiwa na khofu japo kuwa lewandowski na benzema wametuondoa kwenye ile dhana ya kuwapuuza wachezaji wenye miaka 30.
Ndio maana mimi huwa siwapendi wachezaji wa kiingereza wana price tag kubwa sana hapo bado hujaweka mshahara wake ambao hauwezi kupungua 350k/weekly. Pia Harry mwezi July anatimiza umri wa miaka 29.

Nyuma Cristiano Ronaldo mwenye 37, Benzema 33, Lewandowski 33 kuna zaidi ya asilimia 90 ya wachezaji wenye umri wao ambao hawawezi kucheza ktk peak hiyo hawa ni exceptional cases. Hawa ni outliers ktk distribution curve yaani ktk kila kundi la wachezaji wenye umri zaidi ya miaka 28 ni wachezaji wachache sana huwa wanacheza ktk ubora wao.

Longterm transfer strategy nzuri inatakiwa tujikite kutumia pesa nyingi kwa wachezaji wenye umri wa miaka 20 ~ 24. Mchezaji yeyote mwenye umri zaidi ya miaka 28 anapaswa aje bure kama free agent na sio kulipa pesa. Tu-deal na mshahara wake tu na sio transfer fee. Just imagine kama EtH anapewa pound 200M sioni kama ni busara kuleta wachezaji wawili ktk timu yenye uhitaji wa wachezaji angalau 6.
 
Kuna mtu aliwahi kusema humu kwamba uefa itafikiria cha kufanya mana kukosekana kwa man u ni hasara.
Screenshot_20220510-152051.jpg
 
schlotterback ameshasajiliwa na borussia dortmund, ujio wake pamoja na sule kunatengeneza mazingira ya kuondoka kwa manuel akanji anayewaniwa na manchester united. pia kuna pau torres naye analengwa ila khofu yangu ipo kwenye ushindani dhidi ya chelsea wanaokwenda kupoteza walinzi wakati watatu.
Pau Torres namuona kama yuko overhyped sana.
 
Back
Top Bottom