Waingereza wapandishwe kutoka timu za vijana na sio ku-flash pesa chooni. Lengo la kuwa na timu za vijana ni lipi? Maana zaidi ya 98% ni waingereza huko chini.Sijawahi tamani tumnunue muingereza yeyote.View attachment 2219506
Waingereza wapandishwe kutoka timu za vijana na sio ku-flash pesa chooni. Lengo la kuwa na timu za vijana ni lipi? Maana zaidi ya 98% ni waingereza huko chini.Sijawahi tamani tumnunue muingereza yeyote.View attachment 2219506
nyie chezeni mpira mfuzu. Acheni mambo ya kubebwa bebwa mwishowe mtanunuliwa na wanasiasa wa uefa mkaharibu soka. Nyie mmebaki jina tu ila uwanjani weupe sanaKuna mtu aliwahi kusema humu kwamba uefa itafikiria cha kufanya mana kukosekana kwa man u ni hasara.View attachment 2219055
Kuna mtu aliwahi kusema humu kwamba uefa itafikiria cha kufanya mana kukosekana kwa man u ni hasara.View attachment 2219055


....!Usha ambiwa ni timu ya biashara hiyo.Kwahiyo kaeni Kwa kutulia tu.Timu inayo goli 1 Sasa UEFA ya kazi gani?
Ni aibu kubwa Sana man utd kucheza CL ,Mimi binafsi siamini kabisa mpaka hapo makundi yatakapopangwa ...!
Uwezo ni mdogo Sana imagine timu inagogwa 4-0 na Brighton na Bado hata zingeongezwa dakika nyingine 90 huoni wanaweza pata wapi goli ,hio hio timu wanaiaminisha dunia kuwa inaweza kucheza CL....!
Ni mpaka msimu wa 2024/25 kwa kifupi kuanzia mwaka 2024 Man. United hatakosa Champions League msimu wowote ule au mpaka sheria zibadilishwe kutokana na historia yao kubwa kwenye michuano ya UCL.Sasa huo msimu wa 2024/2025 si mtakuwa mnamaliza top 4 au mtakuwa Bado mnachezea vichapoNi mpaka msimu wa 2024/25 kwa kifupi kuanzia mwaka 2024 Man. United hatakosa Champions League msimu wowote ule au mpaka sheria zibadilishwe kutokana na historia yao kubwa kwenye michuano ya UCL.
Mimi nilitamani ianze msimu ujao maana mshaanza kulialia.


Ni mpaka msimu wa 2024/25 kwa kifupi kuanzia mwaka 2024 Man. United hatakosa Champions League msimu wowote ule au mpaka sheria zibadilishwe kutokana na historia yao kubwa kwenye michuano ya UCL.
Mimi nilitamani ianze msimu ujao maana mshaanza kulialia.
Kuna mtu aliwahi kusema humu kwamba uefa itafikiria cha kufanya mana kukosekana kwa man u ni hasara.View attachment 2219055
Chonde chonde kuweni wapole dhidi ya sifa kedekede munazomtupia ETH asijekuwa kama mwalimu wa Klopp na Tuchel.
EtH akipewa backup nzuri ya uongozi pamoja na sisi mashabiki bila kuwa na kiraru cha kutaka kurejea haraka haraka ktk ubora wetu tunaweza kufanya jambo ktk kujenga msingi wa awali.
Dirisha hili lina wachezaji wengi sana wazuri wa bei chee kila idara kuliko msimu wowote ule toka nimeanza kuangalia mpira ila hawaimbwi ktk vinywa vya watu. Hawa niliowa-list hapa chini wote wana umri wa miaka 20 ~ 23 na bei zao hakuna anayeweza kuzidi hata Euro 50M.
Beki wa kati: Alessandro Bastoni, Nico Schlotterbeck, Josko Gvardiol
Beki wa kushoto: Borna Sosa, Tyrell Malacia
Viungo: Boubacar Kamara (free agent, 150k/weekly), Matheus Nunes
Ndiyo maana nikasema United anaweza asikose msimu wowote ule wa UCL kuanzia 2024 kwasababu kama itafikia mwaka Liverpool atakuwa hayupo top 4 basi ujue United lazima atakuwepo top 4. Pia sheria inaangalia ligi mbili zilizofanya vizuri msimu uliopita ndiyo inatoa timu 2 zenye historia nzuri kama ingeanza kutumika next season United angefuzu kwasababu EPL ilifanya vizuri msimu uliopita na timu yenye mafanikio zaidi ya United kwenye UCL pale EPL ni Liverpool ambao tayari wamefuzu. Nimesema United kwasababu kwa rebuild inayofanyika automatically United wataanza kurudi nafasi za juu kwenye msimamo na the likes of Barcelona, Real Madrid, AC Milan ni vilabu ambavyo ni mara chache inatokea wamemaliza nje ya top na katika UCL ni La Liga na EPL ndiyo zina rekodi nzuri recently so kama sheria ingetumika miaka hii kivyovyote vile ingei-favor hii United inayosuasua kwasababu giants wengi wa UCL wanafuzu moja kwa moja, timu pekee ambayo ina-struggle ni United.Ondosha neno Man United hapo badala yake weka Timu zenye Rekodi kubwa/Nzuri ya Michuano ya Ulaya kwasababu nafasi mbili zilizopendekezwa sio za United bali ni bara zima la Ulaya.
Imagine Hawa wakose nafasi ya kushiriki
AC Milan
Liverpool
Barcelona
Man United
Hapo Manchester United hawezi kupata nafasi ya kushiriki kwani hao wengine wote wanamzidi kwa kila Kitu kwenye Mashindano ya Ulaya.
Ndiyo maana nikasema United anaweza asikose msimu wowote ule wa UCL kuanzia 2024 kwasababu kama itafikia mwaka Liverpool atakuwa hayupo top 4 basi ujue United lazima atakuwepo top 4. Pia sheria inaangalia ligi mbili zilizofanya vizuri msimu uliopita ndiyo inatoa timu 2 zenye historia nzuri kama ingeanza kutumika next season United angefuzu kwasababu EPL ilifanya vizuri msimu uliopita na timu yenye mafanikio zaidi ya United kwenye UCL pale EPL ni Liverpool ambao tayari wamefuzu. Nimesema United kwasababu kwa rebuild inayofanyika automatically United wataanza kurudi nafasi za juu kwenye msimamo na the likes of Barcelona, Real Madrid, AC Milan ni vilabu ambavyo ni mara chache inatokea wamemaliza nje ya top na katika UCL ni La Liga na EPL ndiyo zina rekodi nzuri recently so kama sheria ingetumika miaka hii kivyovyote vile ingei-favor hii United inayosuasua kwasababu giants wengi wa UCL wanafuzu moja kwa moja, timu pekee ambayo ina-struggle ni United.