Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

boubacar kamara alizungumzwa sana dirisha la january, tusubiri tuone kama tutajishughulisha kutafuta saini. Kuhusu harry kane nachukizwa na thamani yake inayoegemea paundi million 100 au zaidi na ukijumlisha umri wake naingiwa na khofu japo kuwa lewandowski na benzema wametuondoa kwenye ile dhana ya kuwapuuza wachezaji wenye miaka 30.
Ndio maana mimi huwa siwapendi wachezaji wa kiingereza wana price tag kubwa sana hapo bado hujaweka mshahara wake ambao hauwezi kupungua 350k/weekly. Pia Harry mwezi July anatimiza umri wa miaka 29.

Nyuma Cristiano Ronaldo mwenye 37, Benzema 33, Lewandowski 33 kuna zaidi ya asilimia 90 ya wachezaji wenye umri wao ambao hawawezi kucheza ktk peak hiyo hawa ni exceptional cases. Hawa ni outliers ktk distribution curve yaani ktk kila kundi la wachezaji wenye umri zaidi ya miaka 28 ni wachezaji wachache sana huwa wanacheza ktk ubora wao.

Longterm transfer strategy nzuri inatakiwa tujikite kutumia pesa nyingi kwa wachezaji wenye umri wa miaka 20 ~ 24. Mchezaji yeyote mwenye umri zaidi ya miaka 28 anapaswa aje bure kama free agent na sio kulipa pesa. Tu-deal na mshahara wake tu na sio transfer fee. Just imagine kama EtH anapewa pound 200M sioni kama ni busara kuleta wachezaji wawili ktk timu yenye uhitaji wa wachezaji angalau 6.
 
Kuna mtu aliwahi kusema humu kwamba uefa itafikiria cha kufanya mana kukosekana kwa man u ni hasara.
Screenshot_20220510-152051.jpg
 
schlotterback ameshasajiliwa na borussia dortmund, ujio wake pamoja na sule kunatengeneza mazingira ya kuondoka kwa manuel akanji anayewaniwa na manchester united. pia kuna pau torres naye analengwa ila khofu yangu ipo kwenye ushindani dhidi ya chelsea wanaokwenda kupoteza walinzi wakati watatu.
Pau Torres namuona kama yuko overhyped sana.
 
Kuna mtu aliwahi kusema humu kwamba uefa itafikiria cha kufanya mana kukosekana kwa man u ni hasara.View attachment 2219055
Kuna rafiki yangu ana pub na kumbi za kuonyesha mipira Mikocheni na Msasani huwa United inapofanya vibaya anapataga hasira kinoma japokuwa yeye ni L'pool ananiambia biashara yake huwa inatikisika sana.
 
Watoke wote.. nahisi pia wanamkimbia mmarekani. Glazer family hawana maana
Hemen Tseayo ambaye ni head of corporate finance ameachia madaraka baada ya kuhudumu klabuni kwa miaka 10. Taarifa imeandikwa na laurie whitwell.
 
mgogoro wa mourinho dhidi ya paul pogba ndio ulimfaidisha scott mctominay, jose alimpandisha kutoka academy. uwezo wa mctominay ni wa kuchezea vilabu kama burnley na si kuwa regular starter wa manchester united. Tumerudi nyuma sana.
Nakubaliana nawewe, katikati Pana pwaya sana
 
Darwin Nunez ni cheap option ya Haaland. Bei zao wote ni Euro 75M ila mshahara wa Darwin ni nusu wa Haaland maana yake anatoa room ya ku-accommodate mchezaji mwingine kikosini. (Haaland si chini ya 350k/weekly vs Darwin Nunez 175k/weekly)

Kwa kifupi Haaland hafai kwa timu inayotaka kujengwa kila idara yeye pekee yake anaturudisha kule kule kujaza wachezaji wenye mishahara mikubwa kwa wakati mmoja. Hii kitu ni hatari kama unajenga timu inaku-limit kuongeza watu.
Uhakika ashawekewa radarbna man City
 
Darwin Nunez ni cheap option ya Haaland. Bei zao wote ni Euro 75M ila mshahara wa Darwin ni nusu wa Haaland maana yake anatoa room ya ku-accommodate mchezaji mwingine kikosini. (Haaland si chini ya 350k/weekly vs Darwin Nunez 175k/weekly)

Kwa kifupi Haaland hafai kwa timu inayotaka kujengwa kila idara yeye pekee yake anaturudisha kule kule kujaza wachezaji wenye mishahara mikubwa kwa wakati mmoja. Hii kitu ni hatari kama unajenga timu inaku-limit kuongeza watu.
Ameshaondoka kwenye list.

Labda Nkuku.
 
Kwa mfano tujiulize kwa nini jina la tchouameni halitajwi mara kwa mara kwenye maandishi ya hawa waandishi mashuhuri wa kuripoti habari za manchester united kama vile james ducker, howson, stone, whitwell na wengineo. Kwa nini jina lake lihusishwe zaidi na liverpool pamoja na real madrid. Mbona declan rice anatajwa sana, ruben neves anatajwa kwa sababu ya uzoefu wake wa premier league na si target lengwa hivyo upo uwezekano wa kuwa backup ya declan rice au kelvin phillips. si ajabu watu wa ndani kabisa ya manchester united wakawa hawamtambui tchouameni. Scouting yetu ni bora sana lakini decisions zinanachelewa kufanywa na kwa usahihi.
Kocha wa sasa ataanza kufeli akisajiliwa wachezaji ambao hawamsaidii.
 
Ndio maana mimi huwa siwapendi wachezaji wa kiingereza wana price tag kubwa sana hapo bado hujaweka mshahara wake ambao hauwezi kupungua 350k/weekly. Pia Harry mwezi July anatimiza umri wa miaka 29.

Nyuma Cristiano Ronaldo mwenye 37, Benzema 33, Lewandowski 33 kuna zaidi ya asilimia 90 ya wachezaji wenye umri wao ambao hawawezi kucheza ktk peak hiyo hawa ni exceptional cases. Hawa ni outliers ktk distribution curve yaani ktk kila kundi la wachezaji wenye umri zaidi ya miaka 28 ni wachezaji wachache sana huwa wanacheza ktk ubora wao.

Longterm transfer strategy nzuri inatakiwa tujikite kutumia pesa nyingi kwa wachezaji wenye umri wa miaka 20 ~ 24. Mchezaji yeyote mwenye umri zaidi ya miaka 28 anapaswa aje bure kama free agent na sio kulipa pesa. Tu-deal na mshahara wake tu na sio transfer fee. Just imagine kama EtH anapewa pound 200M sioni kama ni busara kuleta wachezaji wawili ktk timu yenye uhitaji wa wachezaji angalau 6.
Sijawahi tamani tumnunue muingereza yeyote.
20220507_143505.jpg
 
Kuna mtu aliwahi kusema humu kwamba uefa itafikiria cha kufanya mana kukosekana kwa man u ni hasara.View attachment 2219055
Mimi nilishaziambia mbuzi fulani humu ziliokua zinachekelea kutofuzu kwetu kwenda UEFA kua
"UEFA inaihitaji zaidi Manchester United kuliko Man Utd inavyoihitajia UEFA"
Hizi kenge zinavyoambiwa kua Manchester United ndio timu ya dunia sijui hua zinafikiri tunatania.
allypipi kila mara hua anawakumbusha kua siku manchester united ikiwa uwanjani dunia nzima hua na furaha
tapatalk_-2098912494_621x618.jpg
 
Back
Top Bottom