lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,363
- 25,458
Frankly speaking tatizo la Manure sio CR7 bali watu wanaotakiwa kumpa huduma. Tatizo la msingi ni uwezo wa kocha ni mdogo kujenga chemistry na filosofia ya kucheza na kushinda mechi. Juzi na spurs viungo walibahatisha kucheza vizuri hasa fredy ila sasa Fred form yake ni on and off. Midfield ikiboreshwa hata Rashford na Elanga na Ronaldo watakuwa wafungaji wazuri sana. Fredy na Mctomnay hawako kwenye kiwango cha kugombea makombeHuyo ana bebeshwa majukumu mengi wakati jukumu lake yeye huwa ni kufunga tu!!! Ronaldo akabe,atafute mipira,arudi kuzuia duuh.
Atafute timu ambayo ata relax kwa shughuli moja tu,Kutikisa nyavu.Ndicho alicho fanya alipo kuwa na Madrid.


