buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Acha matusi kijanaMumeshaota sugu kila muda munapachikwa ukuni tu nyie takataka hamuna pa kutulia mnatiwa uroda tu kwa kila muhuni😂😂😂😂😂
Acha matusi kijanaMumeshaota sugu kila muda munapachikwa ukuni tu nyie takataka hamuna pa kutulia mnatiwa uroda tu kwa kila muhuni😂😂😂😂😂
Kwani Scholse ana semajeKama kuna shabiki wa MUFC na bado anahofu ya kukosa Top 4 basi nampa salamu kwamba Apunguze presha...Aseno hawezi kutoboa kwa ivi viporo 100%%
sawaa sawa mkuuu ni lugha za wakulungwa mabandani hukuðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜Acha matusi kijana
No fear factor, no Big team mentality.Reason behind??
Mbappe,Neymar,Messi,Verrati,Marqunhos,na wengine wote wale huwezi kusema wanashindwa kucompete na other top teams..
Shida unahisi ni nini?
Unahakika Man Utd Atashinda Na Kuwa Na Consistency Na Mechi Zake Mpk Mwisho.Kama kuna shabiki wa MUFC na bado anahofu ya kukosa Top 4 basi nampa salamu kwamba Apunguze presha...Aseno hawezi kutoboa kwa ivi viporo 100%%
Arsenal wana fixture ngumu kuanzia Aston Villa mpaka West Ham lakini pia mechi zao mbili za mwisho wanacheza na timu zinazopambania zisishuke daraja. Mechi 7 zijazo za Arsenal ndiyo zitaonyesha muelekeo wa top 4.Unahakika Man Utd Atashinda Na Kuwa Na Consistency Na Mechi Zake Mpk Mwisho.
Kweli Acha Tusubiri Tuone Timu Itakuja Na Kitu Gani Tofauti Uwanjani Kuanzia Sasa.Arsenal wana fixture ngumu kuanzia Aston Villa mpaka West Ham lakini pia mechi zao mbili za mwisho wanacheza na timu zinazopambania zisishuke daraja. Mechi 7 zijazo za Arsenal ndiyo zitaonyesha muelekeo wa top 4.
Man. United wana mechi ngumu 2 kulingana na squad depth yao tofauti na Arsenal ukitoa form yao ya sasa kikosi chao siyo kikubwa na chenye quality ya kutosha.
United wana advantage ya kutokucheza wiki 3 na wakirudi huenda kikosi kitakuwa kamili na sasa hivi focus ni top 4 baada ya kutoka kwenye makombe yote.
Kilichobaki ni muda kuamua, bado timu zote zina nafasi nzuri kumaliza top 4.
Timu hatuna,Yani sawa unaishi na mke mwenye mdomo,unamvumilia tu Sasa ndo sisi mashabiki wa man utd tunaivumilia tu...



Lawama Wana shindwa wazipeleke Kwa nani.Jana arsenal kapoteza point 3
Lakin humu watu hawana Furaha, uzi umegeuka matanga

hiyo siku tutajua nani fool.Sasa hivi tatizo n mashabikiLawama Wana shindwa wazipeleke Kwa nani.
Walisema wachezaji
Wakasema board
Wakasingizia ma legend
Sasa hivi hawana Cha kusingizia Tena.
Wakadai Ten haag aingie mapema united Sasa hivi hata hazungumziwi baada ya kupigwa na benifca Tena Nyumbani kwake
Poch baada ya kupigwa na Madrid ndo hamu naye ikaisha kabisa
Wanakosa Cha kusingizia.
Na mechi Yao ni mpaka tarehe 1 April(FOOLS DAY) watasingizia Nini maana watakuwa wamepumzika vya KUTOSHA??hiyo siku tutajua nani fool.
Tusubiri tuone watakacho singizia.
Watasema mashabiki hawana uchungu na timu yao,Hawashangilii Kwa nguvu kuwapa molari wachezaji waoSasa hivi tatizo n mashabiki
Maana washazingizia wote, kasoro mashabiki


maana vipigo vyote vinatokea nyumbani kwao. Ile furaha ya dunia imepotea mwiongoni mwao.We were all seeing that coming.Rashford kapigwa chini timu ya Taifa