Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii ndio UEFA ya mwisho kwa Ronaldo.

Nasikitika kusema kuwa hatutamuona tena Ronaldo kwenye klabu bingwa ulaya.. kama ataendelea kuwepo Nyumbu FC😂
 
bora mmetolewa mana mlkua mnaota ndoto za ile anthem ya uefa
IMG-20220316-WA0003.jpg
 
Timu ya dunia poleni sana kwa msiba mkubwa
Yote yanapita tu!

Timu yenu bado sana
Maguire inabidi muwe mnamuweka benchi huo ni mzigo kweli kwel
Varane naye ni mzito tu, goli lilipitia kwenye himaya yake na Dalot

Hao sisi tuliwapa vidonge vyao ndani na nje
 
Maguire.!!???
Rebuilding ni muhimu sana hasa tukizingatia wachezaji wasiopungua 7 watatakiwa kuondoka.
1. Pogba
2. Cavan
3. Mata
4. Jones
5. Lindgard
6. Matic
7. Bailly
8. Ronaldo
9. Rashford
 
Hivi RR alipo kuwa amesimama wakati wa mechi ikiendelea ndo alikuwa ana elekeza wachezaji wake au na yeye alikuwa mtazamaji tu kama shabiki!!!!!!
 
Ooh tumefanya mazungumzo na kocha wa ajax

Na huyo kocha nayeye huko anakojoleshwa na benfica





Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Na Ajax ange fuzu robo fainali watu wangemfanyia promo kocha Erik ten Haag hatari,nimefurahi Sana kuondoshwa kwake.
Halafu hata hivyo Uefa huwa hafiki mbali,Ana waonea wanyonge wa uholanzi Kwa sababu yeye ndiye mwenye power kuwazidi kuanzia pesa mpaka uwekezaji ndo maana kombe la ligi miaka yote ni la ana chukua yeye.

Sasa kaondoshwa,hata kukumbukwa hakuna
 
Tungoje na leo awafunge midomo wabaya wake.
Huyo ana bebeshwa majukumu mengi wakati jukumu lake yeye huwa ni kufunga tu!!! Ronaldo akabe,atafute mipira,arudi kuzuia duuh.

Atafute timu ambayo ata relax kwa shughuli moja tu,Kutikisa nyavu.Ndicho alicho fanya alipo kuwa na Madrid.
 
Nyie jamaa kat ya watu wanao Tia huruma n nyinyi

Timu inawapa furaha siku moja halafu inawapa mateso wiki tatu

Kwa Hali hii afya mtaitoa wapi ya kugegeda wake zenu jaman

Na waswas hata wake zenu wanasaidiwa na mashabiki wa Chelsea na Liverpool maana hao pekee ndio wananguvu za kiume msimu mzma wa ligi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mwamba umeua hii comment yako inatakiwa ifanyiwe lamination
 
Na mmembwela kweli

Msimu huu ndio msimu mbaya zaidi kwa Atletico Madrid tangu ikae sawa. Wameruhusu magoli mengi sana.

Nilijua hawatatoboa lakini nilisahau kuwa timu linalocheza nalo ndio takataka
Kabisa,
Utolewe na Middle, halafu ufikirie kumtoa ATM...!!
 
Back
Top Bottom