Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanaolilia link tulia pakua hii utajichagulia muonekano kulingana na uwezo wako wa mbs
Ipo mpaka UHD
Screenshot_20220315-230434.png
 
Bruno mapepe mengi badala atulie atoe pass ya kueleweka, yaani kila mechi unaona afadhali yule. Pobga licha ya kuwa mzito anatoa pass za maana no mapepe
Kuna wakati inahitajika kupiga pasi nyepesi lkn anataka kupiga pasi ngumu bila sababu yoyote, me namwaminia ila cku za karibuni amedrop sn au ndiyo kusema Ronaldo ndiyo anayesababisha ashuke kiwango km alivyosemaga mamluki flani humu.
 
Kuna wakati inahitajika kupiga pasi nyepesi lkn anataka kupiga pasi ngumu bila sababu yoyote, me namwaminia ila cku za karibuni amedrop sn au ndiyo kusema Ronaldo ndiyo anayesababisha ashuke kiwango km alivyosemaga mamluki flani humu.
Huenda Ronaldo kachukua attention aliyokua anapata alafu ukute ni mpenda sifa si ndio basi atataka afunge kwa namna yoyote ile ili asifiwee
 
Back
Top Bottom