Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndio mjue hamna kocha Wala timu

Ole alikuwa mech kama hiz Tena home anashinda vzur TU

Endeleen kulea wazee had akil.ziwakae

Ronaldo

Cavan

Mata

Matic


Hao punguzen HUU SIO wakat wa babu Ferguson kumbuken miaka 11 imepita


Anyway mkiendelea hv had wake zenu tutawazalisha maana mtakuwa hamna nguvu za kiume kabisaaa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
'enyi mabinti wa kitanga, ufundi wa kuchomoa chomoa, kuna wanaume wengine bomba zao ni kubwa'

In fact am not talking to mabinti wa kitanga
 
Hapo kuja kuiona timu yangu usiku kama huu nadhani hata Rais atakuwa kabadilika nchi hii. Nimeumia sana dah.
 
Rebuilding ni muhimu sana hasa tukizingatia wachezaji wasiopungua 7 watatakiwa kuondoka.
1. Pogba
2. Cavan
3. Mata
4. Jones
5. Lindgard
6. Matic
7. Bailly
8. Ronaldo
9. Rashford
Mwenye utukufu wake cr7 aondoke tena????
 
Hivi sasa
IMG-20220316-WA0017.jpg
 
Na msahau kuhusu Top 4. Kwanza huu ubao ndio haubadiliki tena mpaka msimu unaisha.
Msimu ujao Newcastle anachukua nafasi yako.
Mtaasubiri kufuzu UEFA mpaka akili ziwakae sawa!
20220316_011754.png
 
Nyie jamaa kat ya watu wanao Tia huruma n nyinyi

Timu inawapa furaha siku moja halafu inawapa mateso wiki tatu

Kwa Hali hii afya mtaitoa wapi ya kugegeda wake zenu jaman

Na waswas hata wake zenu wanasaidiwa na mashabiki wa Chelsea na Liverpool maana hao pekee ndio wananguvu za kiume msimu mzma wa ligi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom