Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ngoja tuone leo labda captain anaweza ni fraisha
1647371548657.jpg
 
Ila Huyu kocha na Maguire wake sijui tu labda mpaka siku atuuwe ndo atamuacha yani Maguire anamuweka nje victor kweli?? Dah halafu hawa macfred ni combo nisiyoikubali hata kidogo. Ngoja tuone Rashid makame karudishwa benchi hahaha.
 
Kulikua na haja gani ya kumuweka Maguire wakati tupo tunahitaji kusonga?

Kocha nae fala hana ukali wowote.

Baily na lindelof watu bana.
 
Mwenye link tafadhali, Hesgoal server zao ziko busy nahisi watumiaji ni wengi.
 
Kulikua na haja gani ya kumuweka Maguire wakati tupo tunahitaji kusonga?

Kocha nae fala hana ukali wowote.

Baily na lindelof watu bana.
Au labda kuna issue ya kimkataba inayomlinda Maguire kucheza kila mechi? Haiingii akilini kabisa Maguire kuanza kila mechi licha ya kutuharibia karibia 70% ya mechi zetu msimu huu.


Nina uhakika akimalizana na Man Utd hakuna team ya maana itakayomhitaji, ni mchezaji ataketoka team kubwa kwenda ndogo labda tuamue kumlinda kama Jones.
 
Fred siku hizi anaonyesha Ubrazili halisi anajiamini mpk raha
 
Magwaya mara ya pili anafanya faulo kwenye boksi Ktk kugombania mipira ya vichwa mpk namuonea huruma
 
dah! Hawa jamaa wanatembea balaa. Defense iwe makini Sana. De gea hakuona chochote ameshangaa nyavu
 
Back
Top Bottom