Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie jamaa kat ya watu wanao Tia huruma n nyinyi

Timu inawapa furaha siku moja halafu inawapa mateso wiki tatu

Kwa Hali hii afya mtaitoa wapi ya kugegeda wake zenu jaman

Na waswas hata wake zenu wanasaidiwa na mashabiki wa Chelsea na Liverpool maana hao pekee ndio wananguvu za kiume msimu mzma wa ligi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sancho nae apunguze vyenga achia ball haraka kama unavyopewa kwa penetration passe.

Yaani naona Atletico tunawaweza sema hamna muunganiko (teamwork na team spirit ya kuua)
Sometimes anazingua sana na hivyo vyenga vyake, kuna nafasi nzuri ya kutoa pasi lakini lenyewe linang'ang'ania kukaa na mpira mpaka linanyang'anywa.
Hizo mbwembwe zake anatakiwa afanye tukiwa tunaongoza kwa goli nyingi, ila kwa huo upumbavu wake anaishia kuigharimu timu.
Kipindi cha kwanza mpaka kinaisha sijaona move yoyote ya maana ya kutafuta goli zaidi ya mbwembwe zisizo na msaada wowote.
 
Back
Top Bottom