Mwanzo niliacha kuangalia mechi kama weweSeriously, hivi tatizo la Man Utd ni nini?
Siku hizi hata mzuka wa kuangalia mechi za Utd sina


Kuna mtu humu alikuwa anaongea kwa kubisha haswa. Anamfananisha mwamba huyo na VVD.View attachment 2117388
Beki la dunia.. Paundi 80 milioni..
Ila nyie uongozi wa Leicester peponi watapasikia tu![]()


sijui hata saa hii anajiskiaje?
Huyu kwakweli hamna kocha tunawasingizia bure wachezaji mbona timu zingine zina wachezaji average sana ila wanafanya vizuri mm nataka nikupe mfano hivi Bernardo silver alivokua Monaco na sasahiv Man City no sawa au Rahim Sterling alivo Liverpool na Sasa sawa, sadio mane ,salah, fabinho wapo Kama walivokua mwanzo kipindi wako team zao za zamani.unajua Kuna kocha na Kuna mwalimu Yani klop na pep ni walimu hao more just being a coach. Wana muongezea mchezaji kitu Cha ziada hivi hawa kina rashford, Sancho , Fernandez unafikili ukimpa pep watabaki hivo.hicho kitu kidogo tumekiona kwa pochettino kidogo kwa kina cane,son kina trippier akiwaongea kidogo wachezaji wa uwingereza ni wazuri wanapopata kocha mzuri.kina Alexander Arnold, Andrew Robertson, sasahiv muangalie fli foden is he to interesting Man City haijanunua wachezaji ghari kivile Kama sio grealish walikua price tag yao sijuwi mahrez mil 60Kuna kinega kimoja kilikua kinasema kocha wa dunia kafika united kwenye kosi la dunia. Juzi kasema haiangalii tena united.
Mi bado nasema tatizo ni kocha.
He is a sissy.Is there a player in world football who moans at the ref more than Bruno Fernandes?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana timu yangu ChelseaTukisema Ronaldo anazingua tunasemwa ni plastic fans.
Hata mimi naona anaacha sana postion yake na ndipo magoli yanarudishwa. Ujinga sana. Haya maingereza yaishie academyKama Luke Shaw angekuwa anaangaliwa kwa jicho sawa na analoangaliwa Harry Maguire tungegundua kwann Man United haishindi!
Au sio?Hii timu kuanzia uongozi, benchi la ufundi, wachezaji mpaka mashabiki wana tabia ya kimalaya malaya hivi.
Man u inaweza kununua kikosi cha team yako chote na benchi zima la ufundi na isiyumbe hata kidogo, unaongelea Halland![]()
Ila inabidi ifike kipindi tukubali tu ronaldo atufai kukaba awezi kukaa na mpira saizi awezi kwa shida ya man u naona mwamba atatuchelewesha.


Wambie ukweli
Wakati wenzetu wanasajili wachezaji sisi tulikuwa busy kusajili ng'ombe.