Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Kwisha habari yenu, mnacheza na Che Adams!


Eti eeKuna mabadiliko makubwa katika uchezaji wetu.....sahizi hata positioning unaona inaeleweka....
Ralf kwanini asikae hapo miaka 2 akitengeneza timu...
Ralf
Enrique
Ten hag
Poch
Weweee... tunawala 6, at least tuoneshe tofauti kati ya kwao na kwetuSecond game yetu na nyie ANFIELD kuna 5 nyingine.
Hakuna hapo hovyo tu wote and yes nilisema kimetokea kweli.Umeona, asee Dalot yeah kawa wa moto nakumbuka kipindi cha Ole hakua hata na raha, tulipocheza na AC Millan.
Pogba ukute anavizia Contract, me nataka aende popote pale tupunguze mizigo dressing room
Nina swali dogo, kwa haya matoto na makubwa jinga tuliyonayo kuna yoyote anaweza kuwa Legend wa Man U?
Ukitoa Ronaldo, De Gea.
Sasa mnakwama wapi?Man u inaweza kununua kikosi cha team yako chote na benchi zima la ufundi na isiyumbe hata kidogo, unaongelea Halland![]()