Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haaland apewe hata £350k per week ni mpambanaji sana pia sidhani kama ni aina ya mchezaji anayeweza kuwa influenced na magenge ya kihuni pale OT. Nitafurahi ujio wake ukiongozana na Heung Min Son pamoja na Rice bila kusahau CB yeyote yule mwenye uwezo kumzidi Maguire.
Son hawezi kuja kwenye timu la mapimbi kama hili ...

Haaland anataka kushinda Mataji ,nyie hata sahani la carabao hamliwezi ...

Rice Hana ndoto Wala haipendi united Toka moyoni ...
 
Maguire on the table sema Maguire ana kitu chenye mashabiki hatukioni naona.
Screenshot_20220212-143129.jpg
 
Maguire ni ucaptain au ni nini?? Ila De gea ana make sense labda tuna laana haiwezekani timu ikawa na majina makubwa na inacheza hivi wallahi yani tatizo limejichimbia chini kama mhimili.
 
Rangnick kumbe mweupe tu..

Limaguire la nini uwanjani?.
May be lindelof akili haijatulia si unajua uvamizi sio poa muda wote unawaza family.

Why, Wan Bissaka asigeuzwe beki wa kati. Yupo vizuri sana in one one ambayo beki wa kati hukutana nao, anakua last defense anayelinda tukipiga counter au dangerous attack.

Huyu bichwa Maguire sipati picha angekua mchezaji wa nje ya England.

Ukute Ralph hana namna. Summer furusha hata kuvunja mkataba.
 
Haaland apewe hata £350k per week ni mpambanaji sana pia sidhani kama ni aina ya mchezaji anayeweza kuwa influenced na magenge ya kihuni pale OT. Nitafurahi ujio wake ukiongozana na Heung Min Son pamoja na Rice bila kusahau CB yeyote yule mwenye uwezo kumzidi Maguire.
United wakimsajili Son Rasford atapata muda mzuri wa kupigania lishe ya watoto
 
May be lindelof akili haijatulia si unajua uvamizi sio poa muda wote unawaza family.

Why, Wan Bissaka asigeuzwe beki wa kati. Yupo vizuri sana in one one ambayo beki wa kati hukutana nao, anakua last defense anayelinda tukipiga counter au dangerous attack.

Huyu bichwa Maguire sipati picha angekua mchezaji wa nje ya England.

Ukute Ralph hana namna. Summer furusha hata kuvunja mkataba.
Handball zitakuwa nyingi sana mtu anatuliza mpira kwa tumbo
 
Haaland apewe hata £350k per week ni mpambanaji sana pia sidhani kama ni aina ya mchezaji anayeweza kuwa influenced na magenge ya kihuni pale OT. Nitafurahi ujio wake ukiongozana na Heung Min Son pamoja na Rice bila kusahau CB yeyote yule mwenye uwezo kumzidi Maguire.
My priorities
1. Declan Rice/ Joao Palinha/ Tchouamen/ Philip's
2. Patrick Schick
3. Sven Botman.
4 Son/ Dominic Szoboszlai
 
Back
Top Bottom