Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,465
- 14,608
Nyie mashetani Chelsea tumeongeza kakikombe kengine
umemuangalia sancho mechi hizi mbili za mwisho ?Tungeacha umimi mbele tuwe threat ya magoli ya teamwork kama Liverpool
Timu zozote tunazokutana nazo zingekua zinacheza kwa uoga uoga.
Sema timu zishaona Ronaldo hamna kitu, Sancho hamna kitu, Rashford hamna kitu, ndio maana hawatuogopi wanatuvamia kama nzi wakijua nyuma kuna kubwa jinga Maguire ndio basi tunakua kituko.
Dogo anakipaji ila ashaaza uchoyo, haijalishi anafunga, ila kuchoma na kufeli teamwork basi hamna kitu.umemuangalia sancho mechi hizi mbili za mwisho ?
Sijui ni kwanini watu wanashindwa kuliona hili..Kwa namna Ronaldo anavyoua build up na chances kadhaa nachelea kusema usajili wake utanisupprise sana kama atafanya maajabu yoyote.The best alimuona kama mwarobaini wa matatizo yetu lakini kwa sasa hoja yangu ya 5 na 6 bila shaka inaanza kuonyesha dhahiri
Mnataka Ronaldo aende wapi ,huo ni mzoga wenu ,na hautatoka hapoSijui ni kwanini watu wanashindwa kuliona hili..
Tulifurahia yeye kurudi lakini kwa sasa jamaa ni tatizo kubwa kwenye hii timu,japokuwa tuna matatizo mengine makubwa tu.
Majipu makubwa kwenye wachezaji ni;
Ronaldo
Shaw
Maguire





Unamuacha Rashford kabisa?Sijui ni kwanini watu wanashindwa kuliona hili..
Tulifurahia yeye kurudi lakini kwa sasa jamaa ni tatizo kubwa kwenye hii timu,japokuwa tuna matatizo mengine makubwa tu.
Majipu makubwa kwenye wachezaji ni;
Ronaldo
Shaw
Maguire
Ukimwambia arudi United atakataa.
Tatizo la Man U kulea lea mafala, ilitakiwa mchezaji acheze by merits.Ukimwambia arudi United atakataa.View attachment 2118174
Utd ina matatizo mengi Sana mkuu, kutokufanya vzr zigo lote anabebeshwa cr7 ? Kwa nn ?? Mechi kabla ya Jana , mbele alisimama Edson, Nini kilibadilika ? Tuna shida kubwa karibu kila idara, pengine kipa tu anacheza vzr recently, beki za kati Amna kitu, njoo namba sita, kule kwa Shaw napo Amna !Sijui ni kwanini watu wanashindwa kuliona hili..
Tulifurahia yeye kurudi lakini kwa sasa jamaa ni tatizo kubwa kwenye hii timu,japokuwa tuna matatizo mengine makubwa tu.
Majipu makubwa kwenye wachezaji ni;
Ronaldo
Shaw
Maguire
Mechi ya juzi ya Sevilla aliupiga mwingi hadi wakati anatoka mashabiki wakamfanyia standing ovation.Martial huko vipi?