Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanakwambia huyu kocha alimtoa tumchel bar akamfundisha mpira na alimuokota klopu kwenye vilabu vya pombe akamfundisha gen gen pressing
Kwa tunaojua mpira hatulaumu kocha
Hii timu imefanya sajili mbovu katika kipindi cha miaka mi3 ya Ole

Hatuna wachezaji wa kushindana kwenye level ya juu ndo maana hata baadhi ya makocha wanakataa kuifundisha hii timu.
 
Kosi la Dunia limefungwa
Kosi la dunia limekua ni mkosi wa dunia.
Nyumbu ni nyumbu tu.
Hamna timu hapo yaani bora hata majimaji ya Songea wanacheza mpira unaoeleweka.
Yaani mbwa hawa leo bora hata wangepigwa zile goli 5 za Liverpool
 
from my observation, the number of players that are supposed to be offloaded is big, vyombo vya habari uingereza vinatuponza, eti the squad of many talented players kweli? I declare this team to have a lot of trash, tusipokuwa makini tutafukuza makocha wengi bila mafanikio
 
Back
Top Bottom