Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna vinabo wawili wanaosababisha Man Utd isije na mpira muda mrefu namaanisha Mc Tominay na Rashid, hawa jamaa kila team inapokuwa na mpira lazima ipotelee kwao either kwa kutoa pasi zisizo na macho au kutuliza mpira hovyo.

Sasa kama kila muda team inakuwa na kazi ya kukaba ili kurudisha mipira inayopotea ambayo hâta hivyo hupotea kila inapopatiana, utaionaje kazi ya Ronaldo??

Team inapoteza sana mipira kwa upumbavu wa midfielders kwahiyo ni lazima umuone Ronaldo kama mzigo.
Mkuu umesahau kumtaja Fred hapo.
Ndo worst player(na Rashford) kwa kipindi cha kwanza.
Tukirudi kwenye point ya msingi ss, ni kweli midfielders wanazingua lkn Ronaldo na yeye anatakiwa apige kazi. Hana u special kiasi, kwamba tutam exclude kwa sababu ya legacy yake
 
Back
Top Bottom