Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio mbaya madogo waliwahi kukata moto first half tungemaliza game mapema tu, bissaka aloo dah sijui tu na Lingard alipoa sana leo kama anaumwaaa.

Hawajazoea mambo ya kupress hawa watu wanaambiwaga nendeni uwanjani mkaenjoy yourself utafikiri uwanjani ni kidimbwi au tips mle wanaume wanafanya kazi shenzyy zake olee.

Baily
 
Sio mbaya madogo waliwahi kukata moto first half tungemaliza game mapema tu, bissaka aloo dah sijui tu na Lingard alipoa sana leo kama anaumwaaa.

Hawajazoea mambo ya kupress hawa watu wanaambiwaga nendeni uwanjani mkaenjoy yourself utafikiri uwanjani ni kidimbwi au tips mle wanaume wanafanya kazi shenzyy zake olee.

Baily
dah we jamaa bwege sana
 
Bissaka kwa alichocheza jana mmmh..kazi ipo

Hata tukimrudisha Crystal Palace na tukawapa na hela bado watatugomea..

2nd half madogo wamekata moto..lakini VdB,AWB na Lingard wameshindwa kuonyesha kuwa wao ni wakubwa kwenye mechi ya jana..wote wamecheza hovyo.

Tumwamini Dallot tu..
 
Kwa timu ipi ya kuleta hayo mauaji


Mijitu ya kubeti bana
Bila shaka alimaanisha kama Messi angekuwa bado yupo Barca basi Bayern wangetoa kipigo zaidi ya hiki cha goli 3 maana ni kama wameitumia Barca kutoa hasira zao za kukosa Ballon D'Or, sasa imagine Messi angekuwa ndani lazima wangefanya humiliation.

The Bavarians siyo watu, nashukuru tumemaliza top kwenye group letu maana ingekuwa ni mapema sana kupewa hao watu.
 
Duh sio Chai hii
Wala siyo story za kutunga, dogo kwenye youth level kashashindikana. Jana katupia goli kwenye UYL dk ya 80, kafunga kwenye mechi 6 mfululizo.

Last season mechi 21, magoli 24, assist 6.
Kama atafanya hivi kwenye senior team basi atakuwa ni moja wa graduates bora kuwahi kutokea kwenye MUFC Academy.

"Charlie McNeil scored, water is wet."
Screenshot_20211209-075705_Samsung%20Internet.jpg
 
Bila shaka alimaanisha kama Messi angekuwa bado yupo Barca basi Bayern wangetoa kipigo zaidi ya hiki cha goli 3 maana ni kama wameitumia Barca kutoa hasira zao za kukosa Ballon D'Or, sasa imagine Messi angekuwa ndani lazima wangefanya humiliation.

The Bavarians siyo watu, nashukuru tumemaliza top kwenye group letu maana ingekuwa ni mapema sana kupewa hao watu.
Ndio nilimaanisha mkuu zedudu acha hizo bana. Alafu sibeti.
 
Back
Top Bottom