ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Kwa timu ipi ya kuleta hayo mauajiNafikiri sababu ni Lewandowski kuibiwa Ballon D'or now wanamalizia hasira kwa Barca, Messi angekuapo naamini wangetoa mauji ya kimbari.
Mijitu ya kubeti bana




Bila shaka alimaanisha kama Messi angekuwa bado yupo Barca basi Bayern wangetoa kipigo zaidi ya hiki cha goli 3 maana ni kama wameitumia Barca kutoa hasira zao za kukosa Ballon D'Or, sasa imagine Messi angekuwa ndani lazima wangefanya humiliation.