Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa vijana ni hatari mno
Kwani wewe ulidhani Man UTD inakosa wachezaji? Shida ilikiwa ni Manager ndomaana ilikuwa hâta akiletewa wachezaji anao wataka anashindwa kuwatumia.Shida haikuwa wachezaji.

Amad alinunuliwa ila alikuwa kaanza kuonekana hafai tena, SANCHO akaomba weeeeh mwishowe akaletwa kilichofata unakijua, VDB akaletwa akiwa wa moto kampiga benchi la kutosha, Telles ,Dallot.

Kichekesho ni pale iliposemekana eti Ronaldo ndo chanzo cha Man UTD kufanya vibaya😂.

UPDATE
Man U- Young B (1-1)
 
Sema kule mbele wanakosa sana nafasi....almost nafasi 3 za wazi wameshindwa
kinachonipa matumaini ni kuona angalau tunakua tishio tukiwa na mpira, sio kama enzi za sosha mpira unachezwa na bisaka gwaya na shoo ukimkuta bruno (nyenze) analipiga uko😂 tunapoteza, kwa sasa timu inakaba chap baada ya kupoteza mpira kitu kinachoashiria perfomance nzuri siku za usoni
 
Kwani wewe ulidhani Man UTD inakosa wachezaji? Shida ilikiwa ni Manager ndomaana ilikuwa hâta akiletewa wachezaji anao wataka anashindwa kuwatumia.Shida haikuwa wachezaji.

Amad alinunuliwa ila alikuwa kaanza kuonekana hafai tena, SANCHO akaomba weeeeh mwishowe akaletwa kilichofata unakijua, VDB akaletwa akiwa wa moto kampiga benchi la kutosha, Telles ,Dallot.

Kichekesho ni pale iliposemekana eti Ronaldo ndo chanzo cha Man UTD kufanya vibaya😂.

UPDATE
Man U- Young B (1-1)
Mpaka anaondoka hajabeba kombe hata moja....mazafanta yule boya sikuwahi mkubali hata siku moja 😀😀
 
Back
Top Bottom