Huyu jamaa ni expert sana aiseh.....ya kwamba amehandle kila kitu kwa hao madogo na namna watakavyocheza leo....brilliantrangnick ameongoza mwenyewe mazoezi ya wachezaji vijana wanaotarajiwa kuwepo kikosini usiku wa leo.
He's not even shortlisted for the Group stagesJones haitaji game time?
Duh sio Chai hiiDogo anafunga sana huyo nasikia alivyokuwa team za watoto huko Mqn city alifunga magoli zaidi ya 600
Mzee anataka ajue yupi yupo vizuri ili baadae awe na first 11 ya kuelewekaUyu kocha sasa yani kapangaje sijui kikosi.View attachment 2037573
Asateeeee sana bwana Kibatala kwa maelezo yakoHamjamuelewa huyu kocha, hapo anatafuta kundi jingine la vijana wa kuaminika baada ya testing ya kwanza kwenye mechi ya Crystal Palace.
Unajua Manchester United ina madogo wengi sana wenye vipaji ila shida ya OLE nakuwaza kuwatumia plus ule uoga wake ndo akawa amekariri wachezaji walewale kitu ambacho kimetufanya hâta mashabiki tuhisi kwamba hatuna wachezaji.
We ngoja madogo watakavyo pambania namba leo, nina imani baada ya Mechi ya leo kuna baadhi ya players mtatamani walau wawepo hâta benchi kila team inapocheza.
GGMU

Tiar huko ubao ushabadirika
Duuh mwendazake katokea wapi uku tena
Abaki huko huko na magongo yake.Dembele hatutaki anataka Arsenal kwa vile wako London View attachment 2037565
Mengi
Zidane


