Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hii formation inaitwa "zigzag"😂
amad ndani saaaf

20211208_223208.jpg
 
Hamjamuelewa huyu kocha, hapo anatafuta kundi jingine la vijana wa kuaminika baada ya testing ya kwanza kwenye mechi ya Crystal Palace.

Unajua Manchester United ina madogo wengi sana wenye vipaji ila shida ya OLE nakuwaza kuwatumia plus ule uoga wake ndo akawa amekariri wachezaji walewale kitu ambacho kimetufanya hâta mashabiki tuhisi kwamba hatuna wachezaji.

We ngoja madogo watakavyo pambania namba leo, nina imani baada ya Mechi ya leo kuna baadhi ya players mtatamani walau wawepo hâta benchi kila team inapocheza.

GGMU
Asateeeee sana bwana Kibatala kwa maelezo yako
 
Back
Top Bottom