D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
yeye mwenyewe anasema kabla ya kuwepo nia ya kufanya mazungumzo na klabu alizifuatilia mechi zote tano zilizopita zikiwemo tulizocheza na liverpool.
yeye mwenyewe anasema kabla ya kuwepo nia ya kufanya mazungumzo na klabu alizifuatilia mechi zote tano zilizopita zikiwemo tulizocheza na liverpool.
Unajua kuna mambo nikifuatilia ndio naona kweli kuna ukweli kwenye maelezo ya Raff, kwamba namna mpira ulikuwa unachezwa miaka 10- iliyopita sio kama leo.Ole alishauriwa wataalamu waajiriwe hakutaka wakati hela hatoi mfukoni ya kuwalipa. Angalia wenzie wameanza kuitana kuchapa kaziView attachment 2036630
hahahahahahah
Dogo kaikimbia France kaenda Tunisia sio??Yupo kwenye arab cap anakichafua vibaya. Ralph ana viumbe wa hatari sana carrington, hawa wakubwa wavivu kina Pogba waende tu
Robbie Savage kumbe ndo maana anaipenda Man.United hivi,,kumbe dogo lake lipo academy yetu.charlie savage ni mtoto wa robbie savage. robbie alilelewa na man utd kupitia class of 92 na mtoto wake ni miongoni mwa vijana watakaokuwepo kikosini.
Ngoja nimuite aje RangnickTunashinda ngapi leo wadau
Ralf at the wheel
Dogo anafunga sana huyo nasikia alivyokuwa team za watoto huko Mqn city alifunga magoli zaidi ya 600Charlie McNeil
The next big thing.
Kwamba Matic ni beki ya kati leoUyu kocha sasa yani kapangaje sijui kikosi.View attachment 2037573
Hamjamuelewa huyu kocha, hapo anatafuta kundi jingine la vijana wa kuaminika baada ya testing ya kwanza kwenye mechi ya Crystal Palace.Uyu kocha sasa yani kapangaje sijui kikosi.View attachment 2037573