Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole alishauriwa wataalamu waajiriwe hakutaka wakati hela hatoi mfukoni ya kuwalipa. Angalia wenzie wameanza kuitana kuchapa kaziView attachment 2036630
Unajua kuna mambo nikifuatilia ndio naona kweli kuna ukweli kwenye maelezo ya Raff, kwamba namna mpira ulikuwa unachezwa miaka 10- iliyopita sio kama leo.

Sasa, ole alikuwa so much in the past, ndio akazaa maneno DNA, Fergie time, na man u ways, the man was day dreaming.

well, kabla ya ujio wa Raff kulikuwa kuna mtu kwenye hiyo role ya Sports Psychologist?
 
hawa wachezaji wenye ndoto za kuwa makocha wajifunze kitu, waelewe ukocha ni landscape tofauti kabisa na uchezaji, wawekeze kwenye kujifunza mambo ya msingi ili waweze kufanikiwa kwenye hii kazi na sio kutegemea uzoefu wa kuwa chini ya cocha fulani au macocha fulani, waachane kabisa na fikra kwamba kucheza mpira na kushinda makombe is a direct path to a successive coaching career.
 
charlie savage ni mtoto wa robbie savage. robbie alilelewa na man utd kupitia class of 92 na mtoto wake ni miongoni mwa vijana watakaokuwepo kikosini.
Robbie Savage kumbe ndo maana anaipenda Man.United hivi,,kumbe dogo lake lipo academy yetu.

Ile mechi ya Atalanta OT akiwa ana-commentate BT sport na Ronaldo akatia chuma cha pili dakika za lala salama jamaa alizuzuka mbaya

"That boy Ronaldo".."Champions league Ronaldo".."Viva Ronaldo"
 
Dembele hatutaki anataka Arsenal kwa vile wako London
PSX_20211208_214542.jpg
 
Uyu kocha sasa yani kapangaje sijui kikosi.View attachment 2037573
Hamjamuelewa huyu kocha, hapo anatafuta kundi jingine la vijana wa kuaminika baada ya testing ya kwanza kwenye mechi ya Crystal Palace.

Unajua Manchester United ina madogo wengi sana wenye vipaji ila shida ya OLE nakuwaza kuwatumia plus ule uoga wake ndo akawa amekariri wachezaji walewale kitu ambacho kimetufanya hâta mashabiki tuhisi kwamba hatuna wachezaji.

We ngoja madogo watakavyo pambania namba leo, nina imani baada ya Mechi ya leo kuna baadhi ya players mtatamani walau wawepo hâta benchi kila team inapocheza.

GGMU
 
Back
Top Bottom