Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kinachonipa matumaini ni kuona angalau tunakua tishio tukiwa na mpira, sio kama enzi za sosha mpira unachezwa na bisaka gwaya na shoo ukimkuta bruno (nyenze) analipiga uko[emoji23] tunapoteza, kwa sasa timu inakaba chap baada ya kupoteza mpira kitu kinachoashiria perfomance nzuri siku za usoni
[emoji2][emoji23][emoji2] nini maana ya NYENZE mkuu
 
Back
Top Bottom