Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kinachonipa matumaini ni kuona angalau tunakua tishio tukiwa na mpira, sio kama enzi za sosha mpira unachezwa na bisaka gwaya na shoo ukimkuta bruno (nyenze) analipiga uko tunapoteza, kwa sasa timu inakaba chap baada ya kupoteza mpira kitu kinachoashiria perfomance nzuri siku za usoni
nini maana ya NYENZE mkuu
 
Back
Top Bottom