buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Nafikiri sababu ni Lewandowski kuibiwa Ballon D'or now wanamalizia hasira kwa Barca, Messi angekuapo naamini wangetoa mauji ya kimbari.Barca anapelekwa kilazima europa huko
😁😁😁😁😁
Nafikiri sababu ni Lewandowski kuibiwa Ballon D'or now wanamalizia hasira kwa Barca, Messi angekuapo naamini wangetoa mauji ya kimbari.Barca anapelekwa kilazima europa huko
😁😁😁😁😁
kinachonipa matumaini ni kuona angalau tunakua tishio tukiwa na mpira, sio kama enzi za sosha mpira unachezwa na bisaka gwaya na shoo ukimkuta bruno (nyenze) analipiga ukotunapoteza, kwa sasa timu inakaba chap baada ya kupoteza mpira kitu kinachoashiria perfomance nzuri siku za usoni


nini maana ya NYENZE mkuumviziaji, hovyo😂nini maana ya NYENZE mkuu
Tulia wewe, hii ndomaana ya kikosi kipana chini ya mwalimu wa mpira. Kwa kikosi hiki ulitegemea tuwe tumafunga magoli mangapi mpaka sasa?Hii ni timu au uchafu?
