Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwaio mmeona uzi wa nyumbu ndio sehemu ya kujadili issues za arsenal.
Mazee kuweni ata na heshima basi kwa nyumbu[emoji3][emoji3]
😁😁😁😁
Sisi ndio mabingwa. Uzi wowote ule wa Jamii Sports kwa sasa ni mali yetu 😁😁😁

Natania tu. Nilipitiwa tu nikasahau kuwa nilianza kumjibu Hamis77 kwenye uzi huu.
 
Hakuna namba nzuri kibiashara nyingine inayopendwa na mashabiki iliyobaki kwa Arsenal. 7, 8, 10, 11, 14, 17....zote zina watu. Nafikiri 19 ndiyo iliyobakia.
Kweli aisee ,na hatuwezi mpora Saka no.7
 
Wachezaji wa Chaka to chaka

Muite Kristos Tzolis

Kashatia kamba

Manjesta fanyeni usajili ,biashara ya kuhamia kwa pep haipo ,Pep kashawakimbia
HOqISkxXEAEiWi_.jpg
 
Tukutane ligi ikianza, title contender top ni united na arsenal
Punguza dharau
Manjesta yanited Bado mna timu dhaifu ukweli usemwe

Hamna depth ya kikosi

Au unadhani unacheza jumatatu hadi jumatatu?

Akiumia CB wako mmoja tu inakubidi uweke kina heaven

Kiungo yako wala sio ya kutisha

Ukweli usemwe ,fanyeni usajili wa maana
 
Manjesta yanited Bado mna timu dhaifu ukweli usemwe

Hamna depth ya kikosi

Au unadhani unacheza jumatatu hadi jumatatu?

Akiumia CB wako mmoja tu inakubidi uweke kina heaven

Kiungo yako wala sio ya kutisha

Ukweli usemwe ,fanyeni usajili wa maana
Upana upi unautaka??
United depth ya kikosi ipo

CBs wapo
Maguire
Heaven
Yoro,
Delight
Martinez

Arsenal unao wangapi??

Total midfielders wapo
Fernandes
Mount
Santos
Ugarte
Lacey
Fletcher
Jack Fletcher
Maino
Tielemans
Na Bado tunasajili mwingine mmoja
Timu tunayo, na tuna morali ya ubingwa msimu huu lkn project yetu ni kuchukua epl 2028
 
Upana upi unautaka??
United depth ya kikosi ipo

CBs wapo
Maguire
Heaven
Yoro,
Delight
Martinez

Arsenal unao wangapi??

Total midfielders wapo
Fernandes
Mount
Santos
Ugarte
Lacey
Fletcher
Jack Fletcher
Maino
Tielemans
Na Bado tunasajili mwingine mmoja
Timu tunayo, na tuna morali ya ubingwa msimu huu lkn project yetu ni kuchukua epl 2028
Mzee kubaliana na ukweli ,hata kama mchungu , Manjesta Bado huna depth na Quality

Kwamba unamtaja Yoro na Heaven kabisa ,tambua Martinez na Maguire ni watu wa injury,una UCL na EPL Kuna mziki wa mechi kila siku 3, kikosi cha kuhimili hivo huna

Kiungo chako ndio kituko Mzee ,ila sawa kwakuwa unabisha Mimi naweka akiba

Muda utasema

Mtarudi humu kumtukana Carrick ila shida ni INEOS ,
 
Sio kwa ubaya ,Carrick atafanywa Mbuzi wa kafara ,anaweza asile X mass

Maana atachezea vipigo back to back
 
Sio kwa ubaya ,Carrick atafanywa Mbuzi wa kafara ,anaweza asile X mass

Maana atachezea vipigo back to back
Toa sababu kwann atakula vipigo mzee
Tactical reasons au unatusema tukose amani na ligi ikiwa bdo kuanza
 
Heaven na yoro ni CBs wazuri siwez kuwapuuza
Kwani arsenal nje ya gab na saliba mna depth kias gani??
Lakini sio lzm tufanane na arsenal, pia bado tunatengeneza timu nyie mnavuna timu
 
Heaven na yoro ni CBs wazuri siwez kuwapuuza
Kwani arsenal nje ya gab na saliba mna depth kias gani??
Lakini sio lzm tufanane na arsenal, pia bado tunatengeneza timu nyie mnavuna timu
Kaka ,kwakuwa unaona naongopa ,naomba nisiongee sana

Muda utasema

Ngoja niwapige banters tu,

Ila itafika muda tutaongea lugha moja humu
 
Back
Top Bottom