Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahaha...
Wenyewe wanakanyimbo kao "......Tony Martial scores again....."
Kuliko martial kucheza kushoto ni bora Sancho akae huko huko.
Au we unaona kuna option nyingine mkuu?
Kweli kabisa bora asicheze kabisa, mana kama hachezi kipindi hiki Trashford mgonjwa, akirudi ndo itabidi ajipeleke Arsenal mwenyewe.
 
Yaan nataman Sosha angekuwa anampa game time Cavan, jamaa huwa anapambana sana tofauti na watoto wengi mabishoo pale mbele lakini huyu kocha wetu alivyo boya next mechi anajaribu kikosi kingine
Jana kuna mpira Ronaldo alishindwa kuufata ila Cavani akamkuta mchezaji wa Villarreal na akauchukua. Cavani anapaswa kuanza kikosi cha kwanza acheze angalau dk 60.

Nilipenda movements zake tu alivyoingia aliwakimbiza mabeki wa Villarreal ikabidi wahamie pembeni kule nako wakakutana na pressing ya kibabe ikawa hakuna namna zaidi ya kutoa mpira wa kurusha. Sasa vitu kama vile ndiyo vinavitajika dk 60 za mwanzo ila ukitegemea acheze kuanzia ya dk 75 tayari ni muda timu zinakuwa zinalinda ushindi au droo. Itapeneza akianza game ijayo.
 
IMG-20210930-WA0044.jpg
 
Everton hii sio ya kutusumbua Old Trafford..nategea easy game kesho.
Mkuu man united vs Everton haijawahi kuwa easy fixture toka kipindi cha Ferguson.

Hawa Everton hata kama wako hali mbaya kiasi gani wakikutana na united ni kama derby.

Tusitegemee mteremko kwa Everton, binafsi game ya Everton huwa sitegemei kushinda cause everton ni part ya Liverpool hivyo rivalry na united ni ile ile.
 
Back
Top Bottom