Mlipokuwa mnang'ang'ana na kumsajili Sancho na CR7 bila kuipa kipaumbele DM ndio madhara yake haya, kinachotofautisha Chelsea kwa mfano na Manure ni mambo mawili makubwa
- Kiungo mkabaji au viungo wakabaji
- Kocha mwenye uwezo wa kujua mechi na kuweka silaha zinazoendana na mechi
Liverpool pamoja na uzuri wao walishindwa kutufunga tukiwa pungufu
Ingekuwa ni ninyi mngejazwa 5
Young Boys timu isiyokuwa na wachezaji wazuri wala wazoefu inawapa shida hivi
Again, nawaona mkielekea kwenye Europa league ndio saizi yenu