Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Siyo kweli! Mwalimu tu anafeli
 
Huyu kocha aendi popote sisi man u yetu tunaijua ,kufungwa kwa leo lazima mbeleni kutajibu tu ,ole shikiria hapo hapo hata wewe una familia
Yan ndo ujue binadamu tuna roho mbaya sana ..yani wanatak ole afukuzwe na familia yake ikale wapi sasa..
 
poleni asee, jana sikua serious kuwaombea njaa!

unajua mwanzo, nilijua hawa watoto wanatania!

kumbe wako serious bhana!

poleni sana

temeni mate tuwachape hawa watoto wasio heshima!
 
Unakumbuka kwamba mara ya mwisho tunawakula pale Stanford Bridge goli la kwanza alifunga Martial akipewa pasi ya upendo na Bissaka na bao la pili aliwapiga captain mwenyewe Harry Maguire.
Kocha alikuwa Nani? Na sasa hivi kocha ni Nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…