Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Hili timu la mandezi.
Yaani ukitaka kuamini hili timu la mandezi hata yafungwe mechi 100 ila yakishinda mechi moja tu yanasahau kuwa ni mabovu na yanatakiwa yafanye marekebisho.
Ndio maana halisi ya Nyumbu.
Wao kusahau ni rahisi mno.
me tangu kipind cha ole washabik wa Man U kelel zao zinaendana na mzuka wq game baadhi baada ya hapo vilio na matusi..yan uwa wanasahau kua wanakocha ambae ni very average.


