Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hili timu la mandezi.

Yaani ukitaka kuamini hili timu la mandezi hata yafungwe mechi 100 ila yakishinda mechi moja tu yanasahau kuwa ni mabovu na yanatakiwa yafanye marekebisho.
me tangu kipind cha ole washabik wa Man U kelel zao zinaendana na mzuka wq game baadhi baada ya hapo vilio na matusi..yan uwa wanasahau kua wanakocha ambae ni very average.
 
Squad ipo nzuri sana
Mwalimu sasa ndio kipengele, timu inacheza vibaya tangia mechi tunazoshinda hadi tunazofungwa, ni kama vile kwenye mazoezi huwa wachezaji wanaenda kuruka ruka hawajifunzi mbinu za kimpira, tunapiga pasi kwa sababu ni sehemu ya mpira, na kufunga kwa sababu ni sehemu ya mpira pia, lakini timu haijulikani inacheza mpira wa kushambulia au kujilinda.

Nalia na ole
Ronaldo out lingard in😂
Tactically hii sijui ilikuwa imekaaje wajuzi naomba msaada
 
Squad ipo nzuri sana
Mwalimu sasa ndio kipengele, timu inacheza vibaya tangia mechi tunazoshinda hadi tunazofungwa, ni kama vile kwenye mazoezi huwa wachezaji wanaenda kuruka ruka hawajifunzi mbinu za kimpira, tunapiga pasi kwa sababu ni sehemu ya mpira, na kufunga kwa sababu ni sehemu ya mpira pia, lakini timu haijulikani inacheza mpira wa kushambulia au kujilinda.

Nalia na ole
Ronaldo out lingard in
Tactically hii sijui ilikuwa imekaaje wajuzi naomba msaada
Ukitaka kujua kocha hana akili angalia katoa forward kaingiza kiungo ya kukaba alafu baadae anatoa kiungo anaingiza forward
 
Huyu kocha aendi popote sisi man u yetu tunaijua ,kufungwa kwa leo lazima mbeleni kutajibu tu ,ole shikiria hapo hapo hata wewe una familia
 
ole guna vs young boys aka Yanga nyumbu ni nyumbu2 amuez badilika
JamiiForums2123797065.jpg
 
Back
Top Bottom