OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
C'mon Young Boys ..piga hizi nyumbuuuu
Washambuliaji 5?Hiyo Formation vP mKuu?..?View attachment 1936593
huyu huwa haitaji kuzoea ligi ni kazi kazi kama hayupo ukistuka nyavu zinatikisika. Greenwood mkali wangu nataka kumuona humu awape amsha amsha kidogo.Sio kiungo itapwaya sana maana tuko pungufu hapa naona kupaki basi kunakuja maana Ole alivyo Muoga.Atoke Van de beek aingie Greenwood.
Makosa kama haya ya redcard za kizembe Fergie alikuwa anawapeleka kufanya mazoezi na reserve team hukoBisaka naona ameamua kutuuza.
Tumvumilie tu pesa nyingi tumetoa hapoSancho ni Sanchez wa Manure aliyechangamka
Alikuwa hafanyi mchezo kabisaaMakosa kama haya ya redcard za kizembe Fergie alikuwa anawapeleka kufanya mazoezi na reserve team huko
Sancho ni Sanchez wa Manure aliyechangamka
Lkn aliyempa pasi ndio kazingua, pasi ya uchonganishi ile.Makosa kama haya ya redcard za kizembe Fergie alikuwa anawapeleka kufanya mazoezi na reserve team huko