Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Shida sio west ham shida ni sisi

Mchezaji ana 29 years na anamaliza mkataba utoe 25 mill
Ah hapana mzee huyo lingard ni mpuuzi akisign mkataba mpya man utd maana sijui anahisi atacheza wapi
Ni mchezaji ambaye ni proven kwao, hicho kiasi sio kibaya, man U inaonekana kama Timu inayo toa tu sadaka miaka na miaka watu wanajichukulia wachezaji kwa bei rahisi, ila Sasa hivi na sisi tuna watu wa soka, tumekomaa sana msimu huu, wachezaji wengi wameondoka kwa vile tunavyotaka sisi.

Hii itatengeneza heshima kwa timu yetu, na watu watajua hakuna tena wachezaji wa bure, Angalia Chelsea wanavyouza ama Liverpool, wachezaji ambao hata ligi hawajacheza kina Brewster na Solanke wanauzwa hadi 20m, sembuse Lingard ambae ni Epl proven
 
Kuna mshikaji humu kasema inawezekana ole huwa anasimamia mazoezi ya viungo na utii peke yake
Mi nadhani kitu pekee alichonacho ole ni mamlaka ya kuamua huyu atacheza, huyu atakaa benchi, huyu atasafiri na timu nakadharka.
Na ni vile Pogba ashaamua kuondoka ama sivyo angemuanzishia mgomo.

Jamaa hana clue kabisa yaani.
 
Mashabiki wenzangu wa manchester, tujiepushe kuishi on denial mode. Timu yetu haina kocha, haichezi kwa kufuata maelekezo yoyote yale. yaani tunashinda na kudroo kwa sababu tunawachezaji wanaojielewa.
Timu isio na Kocha
-imemfunga pep mfululizo miaka 3 pale Etihad, mechi 5 zilizopita za league tumemfunga Man city Mara 4 kapata draw moja, pep huyu anaewaonea wengine kwenye league kwa Ole anakuwa kama mtoto tu, hata akiwa kwenye Form.
-Timu isio na Kocha ina record nzuri vs top 6, ukitoa Arsenal, kina Chelsea, Liverpool, spurs, Man city, leicester na timu zote kubwa Huwa tuna record nzuri against them
-even ulaya Mara 2 mfululizo against psg tulikuwa better team,

Ole Ameprove time to time Tactics zake kuwafunga vigogo, kwenye ligi tumetoka nafasi ya 6 mpaka ya 3, toka 3 mpaka 2, tumeanza nusu cup competitions msimu juzi, mpaka final msimu uliopita, kila eneo unaona improvements ndani na nje ya uwanja.

Eneo pekee ambalo tulikuwa na bado ni wabovu ni against low Block, timu zinazopaki basi, nazo pia tume improve msimu wa juzi tulistruggle sana msimu uliopita tukawa na uafadhali na hata msimu huu kuna hopes fulani, kushinda kwa kulazimisha mfano mechi iliopita.


Na Tukiwa na wachezaji caliber ya Ronaldo na Cavani ni rahisi kushinda against low Block hasa vile walivyo wazuri kwa mpira ya kichwa.
 
Timu isio na Kocha
-imemfunga pep mfululizo miaka 3 pale Etihad, mechi 5 zilizopita za league tumemfunga Man city Mara 4 kapata draw moja, pep huyu anaewaonea wengine kwenye league kwa Ole anakuwa kama mtoto tu, hata akiwa kwenye Form.
-Timu isio na Kocha ina record nzuri vs top 6, ukitoa Arsenal, kina Chelsea, Liverpool, spurs, Man city, leicester na timu zote kubwa Huwa tuna record nzuri against them
-even ulaya Mara 2 mfululizo against psg tulikuwa better team,

Ole Ameprove time to time Tactics zake kuwafunga vigogo, kwenye ligi tumetoka nafasi ya 6 mpaka ya 3, toka 3 mpaka 2, tumeanza nusu cup competitions msimu juzi, mpaka final msimu uliopita, kila eneo unaona improvements ndani na nje ya uwanja.

Eneo pekee ambalo tulikuwa na bado ni wabovu ni against low Block, timu zinazopaki basi, nazo pia tume improve msimu wa juzi tulistruggle sana msimu uliopita tukawa na uafadhali na hata msimu huu kuna hopes fulani, kushinda kwa kulazimisha mfano mechi iliopita.


Na Tukiwa na wachezaji caliber ya Ronaldo na Cavani ni rahisi kushinda against low Block hasa vile walivyo wazuri kwa mpira ya kichwa.
Ole yuko vzr...mm nasubiria epl tu na nusu final ya uefa
 
Timu isio na Kocha
-imemfunga pep mfululizo miaka 3 pale Etihad, mechi 5 zilizopita za league tumemfunga Man city Mara 4 kapata draw moja, pep huyu anaewaonea wengine kwenye league kwa Ole anakuwa kama mtoto tu, hata akiwa kwenye Form.
-Timu isio na Kocha ina record nzuri vs top 6, ukitoa Arsenal, kina Chelsea, Liverpool, spurs, Man city, leicester na timu zote kubwa Huwa tuna record nzuri against them
-even ulaya Mara 2 mfululizo against psg tulikuwa better team,

Ole Ameprove time to time Tactics zake kuwafunga vigogo, kwenye ligi tumetoka nafasi ya 6 mpaka ya 3, toka 3 mpaka 2, tumeanza nusu cup competitions msimu juzi, mpaka final msimu uliopita, kila eneo unaona improvements ndani na nje ya uwanja.

Eneo pekee ambalo tulikuwa na bado ni wabovu ni against low Block, timu zinazopaki basi, nazo pia tume improve msimu wa juzi tulistruggle sana msimu uliopita tukawa na uafadhali na hata msimu huu kuna hopes fulani, kushinda kwa kulazimisha mfano mechi iliopita.


Na Tukiwa na wachezaji caliber ya Ronaldo na Cavani ni rahisi kushinda against low Block hasa vile walivyo wazuri kwa mpira ya kichwa.
Uko vizuri kwa statistics mkuu haya tusubiri mwisho wa msimu.
 
Hakuna shaka atarudi ndani ya miaka miwili tu baada ya mkataba wa CR7 kwisha
PSX_20210831_231041.jpg
 
msimu huu tunachukua point 80+ hizo ndio Target zangu kwa ole kuwa successful, serious challenge kwa ubingwa ama kuubeba kabisa.
Labda kama watabadili uchezaji ila kwa tulivyoanza hizo point ni ndoto. Halafu sitegemei kwa hiki kikosi tusibebe hata carabao itakua ajabu na kweli.
 
Kumbe mafanikio yenu siku hizi ni kushinda big games aisee kweli mambo yamebadilika hahaha
Timu isio na Kocha
-imemfunga pep mfululizo miaka 3 pale Etihad, mechi 5 zilizopita za league tumemfunga Man city Mara 4 kapata draw moja, pep huyu anaewaonea wengine kwenye league kwa Ole anakuwa kama mtoto tu, hata akiwa kwenye Form.
-Timu isio na Kocha ina record nzuri vs top 6, ukitoa Arsenal, kina Chelsea, Liverpool, spurs, Man city, leicester na timu zote kubwa Huwa tuna record nzuri against them
-even ulaya Mara 2 mfululizo against psg tulikuwa better team,

Ole Ameprove time to time Tactics zake kuwafunga vigogo, kwenye ligi tumetoka nafasi ya 6 mpaka ya 3, toka 3 mpaka 2, tumeanza nusu cup competitions msimu juzi, mpaka final msimu uliopita, kila eneo unaona improvements ndani na nje ya uwanja.

Eneo pekee ambalo tulikuwa na bado ni wabovu ni against low Block, timu zinazopaki basi, nazo pia tume improve msimu wa juzi tulistruggle sana msimu uliopita tukawa na uafadhali na hata msimu huu kuna hopes fulani, kushinda kwa kulazimisha mfano mechi iliopita.


Na Tukiwa na wachezaji caliber ya Ronaldo na Cavani ni rahisi kushinda against low Block hasa vile walivyo wazuri kwa mpira ya kichwa.
 
Timu isio na Kocha
-imemfunga pep mfululizo miaka 3 pale Etihad, mechi 5 zilizopita za league tumemfunga Man city Mara 4 kapata draw moja, pep huyu anaewaonea wengine kwenye league kwa Ole anakuwa kama mtoto tu, hata akiwa kwenye Form.
-Timu isio na Kocha ina record nzuri vs top 6, ukitoa Arsenal, kina Chelsea, Liverpool, spurs, Man city, leicester na timu zote kubwa Huwa tuna record nzuri against them
-even ulaya Mara 2 mfululizo against psg tulikuwa better team,

Ole Ameprove time to time Tactics zake kuwafunga vigogo, kwenye ligi tumetoka nafasi ya 6 mpaka ya 3, toka 3 mpaka 2, tumeanza nusu cup competitions msimu juzi, mpaka final msimu uliopita, kila eneo unaona improvements ndani na nje ya uwanja.

Eneo pekee ambalo tulikuwa na bado ni wabovu ni against low Block, timu zinazopaki basi, nazo pia tume improve msimu wa juzi tulistruggle sana msimu uliopita tukawa na uafadhali na hata msimu huu kuna hopes fulani, kushinda kwa kulazimisha mfano mechi iliopita.


Na Tukiwa na wachezaji caliber ya Ronaldo na Cavani ni rahisi kushinda against low Block hasa vile walivyo wazuri kwa mpira ya kichwa.
Sikh hizi mnajivunia kuzifunga man city ,Liverpool ,Chelsea ,..


Kumbe ndio mafanikio yenuu,Villarreal kuwabamiza final Europa kumbe hakubahatisha,nyie lengo lenu ni kumfunga tu pep ,.....

Ndio maana 4 season consecutively without trophy ole bado anadunda ...
 
Sikh hizi mnajivunia kuzifunga man city ,Liverpool ,Chelsea ,..


Kumbe ndio mafanikio yenuu,Villarreal kuwabamiza final Europa kumbe hakubahatisha,nyie lengo lenu ni kumfunga tu pep ,.....

Ndio maana 4 season consecutively without trophy ole bado anadunda ...
Ole ana misimu miwili full, na huu wa tatu.

Na hoja ya juu ilikuwa specifically kwa Ole, na sio timu na vikombe,
 
Back
Top Bottom