Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Mzee wa "Hajafukuzwa tu?"Ronaldo atamfukuzisha kazi sosha
Game ya kwanza ronaldo kucheza halafu tufungwe sosha haponi


Mzee wa "Hajafukuzwa tu?"Ronaldo atamfukuzisha kazi sosha
Game ya kwanza ronaldo kucheza halafu tufungwe sosha haponi


Inatimia sasa ivi stay tunedMzee wa "Hajafukuzwa tu?"![]()
Kwa mtazamo wangu, Lingard sio takataka. Endapo akipewa run of games kama za Martial, atakuwa na msaada sana katika timu. Anauwezo mkubwa wa kujiposition,running zake zinaeleweka, pia sio mvivu. Binafsi nisingependa kumuona akiuzwa.Safi sana, haya matakataka ndiyo yanayo tucost, bado matakataka haya hapa
Martial
Lingard
Jones (huyu sina shida naye cz hachezi)
Ole.
Hata akae benchi mwaka mzima hawezi pigania nambaKwa mtazamo wangu, Lingard sio takataka. Endapo akipewa run of games kama za Martial, atakuwa na msaada sana katika timu. Anauwezo mkubwa wa kujiposition,running zake zinaeleweka, pia sio mvivu. Binafsi nisingependa kumuona akiuzwa.
Martial ni talented player, ila ni mvivu kuliko kawaida, huyu anastahili kukaa benchi ili apate hamasa ya kupigania namba.
Talented, but lazyHata akae benchi mwaka mzima hawezi pigania namba
Hiyo siyo ligi ya bongo, Lindelof siyo versatile kama BlindSi watie fred bench lindelof awe anasimama kama DM
Sorry mkuu.niiikuwa offline kitambo kidogoAnaitwa marama nani?
Nikamsome?
ShukraniSorry mkuu.niiikuwa offline kitambo kidogo
anatumia jina la Maram AlBaharna au accaount yake @maramperninety
Sasa mkuuHiyo siyo ligi ya bongo, Lindelof siyo versatile kama Blind
DM tunaye ni Scot tunatakiwa kubadili structure ya uchezaji wetu.Kwa anachokifanya fred na tusipo sajiri DM kwa muda uliobaki ni bora umbadilishe lindelof akae hapo kati
Sidhani kama United ina ukosefu wa DM mpaka tuanze kufanya najaribio kwenye eneo sensitive namna hiyo.Sasa mkuu
Si bora kujaribu kuliko huu mfumo wa 4231 kila siku
Fred hana nguvu na huo ufupi wake ndo kabisaaa, alikuwa anamparamia Adama afu anaanguka mwenyewe, nilikuwa naona soni utadhani niko uwanjani liveKwa anachokifanya fred na tusipo sajiri DM kwa muda uliobaki ni bora umbadilishe lindelof akae hapo kati
Naona wameskia kilio chako mkuuSafi sana, haya matakataka ndiyo yanayo tucost, bado matakataka haya hapa
Martial
Lingard
Jones (huyu sina shida naye cz hachezi)
Ole.
Kuna mpya gn mkuu.Naona wameskia kilio chako mkuu
Lingard mzr kwa timu ndogo the likes of Arsenal.Kwa mtazamo wangu, Lingard sio takataka. Endapo akipewa run of games kama za Martial, atakuwa na msaada sana katika timu. Anauwezo mkubwa wa kujiposition,running zake zinaeleweka, pia sio mvivu. Binafsi nisingependa kumuona akiuzwa.
Martial ni talented player, ila ni mvivu kuliko kawaida, huyu anastahili kukaa benchi ili apate hamasa ya kupigania namba.
Kocha ameanza kumpa nafasi James wa championship, we ngoja kama hajamfukuzisha kazi.
Hiko ndo kilikua kilio chako.. Kimeskika.Kuna mpya gn mkuu.