Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole atabeba kikombe na Man U lini? mbona amna dalili au malengo ni top 4; mbona Van Gal na Mou walikuja muda mfupi na kubeba vikombe?
Kikosi hiki cha Man U kinaizidi kile cha Sir Alex cha akina Anderson na Luis Nani lakini alibeba EPL.
Man U wamekosa kabisa wanaofanya accessment ya kocha.
 
The queen
twelfthmantweets-___CTSe3kXAqQ4___-1.jpg
 
Kwa mtazamo wangu, Lingard sio takataka. Endapo akipewa run of games kama za Martial, atakuwa na msaada sana katika timu. Anauwezo mkubwa wa kujiposition,running zake zinaeleweka, pia sio mvivu. Binafsi nisingependa kumuona akiuzwa.

Martial ni talented player, ila ni mvivu kuliko kawaida, huyu anastahili kukaa benchi ili apate hamasa ya kupigania namba.
Hakuna kitu hapo.

Sawa na kusubiri meli airport.

Hao wachezaji watimuliwe tu.
 
Cristiano Ronaldo huyu jamaa sina la kusema. #GOAT

Kama ningeambia nichague nisajili wachezaji wawili tu duaniani kati Cristiano the GOAT na La Pulga au wachezaji 11 ninaowataka kutoka timu yoyote ile.

Hakika nitachukua hawa wafalme wawili wa soka hata kama wana mguu mmoja tu.
 
Ángel di María: “I didn't give a f*** about the #mufc No 7, at first they talked to me a lot about it... it was just a shirt. My problem at Manchester was the coach.” .
tyc Sports]
 
Back
Top Bottom