Ole atabeba kikombe na Man U lini? mbona amna dalili au malengo ni top 4; mbona Van Gal na Mou walikuja muda mfupi na kubeba vikombe?
Kikosi hiki cha Man U kinaizidi kile cha Sir Alex cha akina Anderson na Luis Nani lakini alibeba EPL.
Man U wamekosa kabisa wanaofanya accessment ya kocha.
Kikosi hiki cha Man U kinaizidi kile cha Sir Alex cha akina Anderson na Luis Nani lakini alibeba EPL.
Man U wamekosa kabisa wanaofanya accessment ya kocha.


.
Nike have unveiled the "Cristiano Ronaldo pitch", located in Cristiano's hometown, Madeira. The pitch is red with yellow used for the lines and the CR7 logo.

