Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vipi kuhusu hii hoja kwamba wanapocheza DM wawili wanapunguza nguvu yetu offensively?
Hoja hii siyo ya kweli tatizo linakuwepo kwa sababu Fred ni pure DM ambaye hana passing accuracy nzuri, Scot ni pure DM japo ana elements za CM (box to box) changamoto yao kubwa wote siyo creative halafu timu yetu ni offensive upande mmoja wa kushoto kwa sababu kulia hatuna wachezaji wazuri kuanzia fullback na wings.

Mpira mwingi tunapoupata tunauelekeza kulia ambako sisi siyo threat kwa opponents.

Tukipata Right wing mzuri probably na Right fullback tutakuwa tumeshatatua suala la msingi la timu kuwa offensive pande zote za uwanja hivyo hao jamaa zetu mmoja atapata gape la kuadvance juu.

It's very unfortunate Paul Pogba ameshindwa kublend vizuri na hao hilo tatizo la timu kukosa progress lingeisha.
 
PAU-tor Lindelof
KOUNDE-lof

Who?
20210615_020346.jpg
 
Two years after Manchester United scouted 804 right-backs they have decided they need another one who does not entirely represent their cultural reset. But they’re right to act.
1623742045984.png
 
  1. #mufc have offered Cristiano Ronaldo a 2-year contract worth €20m net/year — Juve could explore the possibility of having Pogba as part of the deal. All parties are waiting as #mufc’s first priority is to complete the Jadon Sancho operation. [@Gazzetta_it via @Sport_Witness]
  2. Ronaldo, for his part, believes he can still earn €31m net salary elsewhere, which is why he takes his time to take a decision. His first choice are PSG, who would have no problem paying him that, but it depends on Kylian Mbappe's future. [@Gazzetta_it via @Sport_Witness]
 
Aliuzwa akiwa bado mtoto sana..mtoto mwenye miaka 16/17 anaweza asionyeshe uwezo wake wote kwa muda huo..

Mbona Salah aliuzwa na Mourinho na amekuja kuwa moto?..mifano ipo mingi.

Tumkatae Sancho kwa ishu nyingine lakini sio uwezo wake.
Sancho ni mkali tena wenda akaizidi pili pili, tatizo lake kwangu ni uraia wake.

Waingereza wanapambwa sana na vyombo vyao vya habar lakini ukweli uwezo wao wengi wao ni wakawaida sana.

Kuna mwaka nakumbuka tulimsajili Owen Hagrives kutoka Bayan Munich, kabla kumsajili jamaa alikua anakiwasha pale Munich ile mbaya lkn alipo kuja OT ni wenge tupu, zaidi ya majeruhi sina cha kumkumbuka zaidi ya majeruhi yake.

Naungana na mdau mmoja hapo juu, kua Waingereza sio wa kuwanunua kwa gharama kubwa, bora uwakuze mwenyewe.
 
Alie kuambia tunagombea Carabao amekutapeli.
Sasa nyie mnauwezo wa kuchukua nini tena ??

Kwa kikosi chenu cha kina mashoo ,rashford ,pogbaa ,penandez ..

Mnafikiki mnaweza kuchukua kikombe gani hasa ..

Uefa big no

Europa, hamna uwezo

Epl ,hamna pumzi ya kupandisha mlima wa game 38

Fa , hili kombe hamliwezi labisa

Carabao ...hili kombe hata mchezi na machester city B hamna uwezo wa kichukua ....


Sasa hii man utd ya sasa mnaweza kuchukua nini ,labda sahani za shishi food ....!
 
Sasa nyie mnauwezo wa kuchukua nini tena ??

Kwa kikosi chenu cha kina mashoo ,rashford ,pogbaa ,penandez ..

Mnafikiki mnaweza kuchukua kikombe gani hasa ..

Uefa big no

Europa, hamna uwezo

Epl ,hamna pumzi ya kupandisha mlima wa game 38

Fa , hili kombe hamliwezi labisa

Carabao ...hili kombe hata mchezi na machester city B hamna uwezo wa kichukua ....


Sasa hii man utd ya sasa mnaweza kuchukua nini ,labda sahani za shishi food ....!
Chelsea wamewapelekea moto wewe na kiparangoto wako mmebaki kuleta maneno ya kwenye kanga..

Hovyo sana.
 
Chelsea wamewapelekea moto wewe na kiparangoto wako mmebaki kuleta maneno ya kwenye kanga..

Hovyo sana.
ile game kila mtu aliona ,the best team lose against weak team ..

Chelsea ni underdog tu mbele ya city ,hio haipingiki ...
 
Back
Top Bottom