fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,206
Haya ni maajabu mengine kuhusu wachezaji wa man utd wakiwa na timu zao za taifa.
Kuna Pogba na huyu lindelof.
Kila tunapojaribu kuwaapuza tuingie sokoni,wanaibuka mashujaa kwa mataifa yao!
1. Tatizo ni maguire au lindelof?
2. tatizo ni muunganiko wa maguire na lindelof?
3. Tatizo ni la mbinu za kiufundi za mwalimu wao katika klabu?
Kwa mfano Joe Glazer angsema angalie hii mechi kabla hajafanya maamuzi aidha ampe Ole mpunga atafute msaidizi wa Maguire au aendelee na Lindelof kama partner wa Maguire,angekosa imani na uwezo wa Ole.
