Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Kama hujawahi kuchukua UCL huna hadhi ya kuongea na mabingwa mara 3 wa michuano hiyo.Sasa nyie mnauwezo wa kuchukua nini tena ??
Kwa kikosi chenu cha kina mashoo ,rashford ,pogbaa ,penandez ..
Mnafikiki mnaweza kuchukua kikombe gani hasa ..
Uefa big no
Europa, hamna uwezo
Epl ,hamna pumzi ya kupandisha mlima wa game 38
Fa , hili kombe hamliwezi labisa
Carabao ...hili kombe hata mchezi na machester city B hamna uwezo wa kichukua ....
Sasa hii man utd ya sasa mnaweza kuchukua nini ,labda sahani za shishi food ....!
kati ya taka taka ulizo zitaja hapo hakuna nisiyo chukua, labda hiyo taka taka Carabao!
Huyo baasha wako alie kufunga final, sisi tulimchezeshea kichapo 2008 na tukatwaa huo upuuzi wenyewe.
kiufupi huna cha kuniambia nikakuelewa.
