Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Yaah akiwa bolton..ishu yake watu walidhani tayari kashadead..ila mwamba aliamka.Wazungu wanapambana sn, nilikuwa na matumaini kdg cz nilikumbuka issue ya Patrice Muamba.
Sema pia health system za wenzetu ziko poa sana..wana hadi maECG uwanjani..hapa bongo aisee tusiombee mchezaji apatwe na ishu kama ile.



