Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,280
- 10,052
Ni kawaida mtu kushindwa kuperform sehemu hii akafanikiwa kule.......cha kushangaza romelu ameondoka na hakuna badiliko lolote la kimfumo,
mimi sijaliona badiliko ila kama yupo aliyelishuhudia basi atwambie
najua kuna watu watamtumia greenwood kama ni reference yao
lukaku wa man U alikuwa anakera, ni nani alikuwa anaweza kumtetea lukaku wa man U, hata kutuliza mpira ilikuwa tabu lilikuwa bonge kama kiboko.


