mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,363
- 21,440
Mkuu wakati kipindi Ronaldo ana miaka 22 alikuwa timamu sana kuliko rashford.Huwezi jua pengine angekuwa wa moto zaidi.
Mimi pia najua Rashford ana mapungufu mengi sana uwanjani lakini ukitumia graph ya takwimu atakuumbua. Kwa sababu takwimu zake kila msimu zinapanda.
Hebu kaangalie Ronaldo wakati ana 22 years kama Rashford alikuwa na magoli mangapi ?
Kutumia takwimu kumchambua Rashford hautapata mtazamo sahihi kwa sababu takwimu zake ni nzuri kuliko mchezaji mwingine yoyote wa united post Ferguson era.
Sana sana tuishie kwenye kuangalia mapungufu yake uwanjani tu.
Rashford ana utoto mwingi sn.
Ubinafsi sn.
Na takwimu zake zinaongezewa na ulegelege wa beki za kipindi cha sasa.
Sidhani kama ingekuwa msimu wa beki akina vidic zile za kula mavi kama angefika hata goli 5..

