Ila kocha wetu wakuu sijui na genge lake wanachofikiria kwa mfano kuna wachezaj viwango vyao vipo chini sana lakin wanacheza kosa la pili kuifikiria timu ya mbele wakat ya nyuma hujamalizana nayo haya matokeo ni muendelezo wa upuuzi wa mech ya shefield united
Namuheshimu sana kocha wetu kwa kuleta umoja kwenye timu hilo kila siku ntakuwa muwazi ila hakuna kocha tutapata kama mourinho wengi mnapinga sana ila mtazidi kuelewa tu taratibu na hata aliposema kumaliza nafasi ya pili na ile timu ya wakina phil jones ni mafanikio makubwa ktk kazi yake ya ukocha vinaanza kujionesha
Mourinho aliongea sana suala la martial leo jambo lipo wazi kaongea pogba pamoja na kwamba yeye alimleta kila siku timu inasaka kiungo na si kwamba pogba mbovu hapana kumudu majukum tu huwa anazembea
Hata pep alikosea kwa wakina nolito na yule kipa alimtoa barcelona bado alisahihisha makosa
Timu imebanwa balaa leo anatoka cavan anaingia james anamtoa fred anamuingiza scott????



hao ndio anataka wakabadili matokeo
Kitu nawaza hadi muda huu kashindwa kabisa kumtumia DVB na yule dogo mwingine dialo anakwenda kupotea alisajili pelistri kapotea huko anawachukua wa nn?
Mengine tunashindwaga kuhoji hapa kwa kuwa tunaonekana tunachuki
Greenwood hastahili kumaliza dakika 90 mara ya mwisho kufunga goli mech ya liverpool kwenye FA hii ina maana gani sasa?
Kocha ambae hii timu ingempata tungelamba dume ni huyu
Josef "Jupp" Heynckes
View attachment 1716804
Huyo wangefanya mbinu za kumrudisha kufundisha mpira ni mzur sana hasa mbinu zake
Tatizo alistaafu lakin kama kuna mzigo anarudi tu huyo angeimudu hii timu
Harry maguire alipokuwa leicester city alikuwa na rekod nzur sana toka aje kwetu kawa kituko kwa sasa nahisi mbinu za kocha wetu ni mbovu kuna wachezaj wanashuka viwango kwa kasi sana
Mechi ya real socieded yule dogo amad dialo alichezeshwa upande ambao sio wake mistake nyingine hiyo kama ambavyo tumpoteza rashford yule wa van gaal kirahisi sana kwa ajili ya kumfanya martial awe center foward jambo ambalo bwana martial limemshinda tukamuuza Lukaku kwa mbwembwe kupisha hawa madogo
Hii timu isipotumia pesa kupata wachazaj wakomavu tukitegemea wakina greenwood na shola inazidi kupotea
Toka class of 92 hakuna kizazi kilichoibuka toka kwenye academy
Wakuu mnasikia tena La masia?
Mess ndio anamalizia La masia msoto unaanza.