Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★An honest assessment from Nema

#GGMU

manutd |
IMG_20210304_114643_168.jpeg
IMG_20210304_114642_444.jpeg
 
★#mufc's Premier League results since going top of the league on January 12 [sky]★

#GGMU

manutd |
IMG_20210304_114451_745.jpeg
 
★Gary Neville: "I'm just getting the feeling watching #mufc that they are sleepwalking into a top four race when it could be so much more comfortable for them. They have dropped so many points in these last few weeks." [sky]★

#GGMU

manutd |
 
★Gary Neville: "They [#mufc] are so lethargic, there is no urgency, I am expecting them to throw the kitchen sink at it. It is almost like they think it is OK to draw this game, that they don't see the danger of doing so." [sky]★

#GGMU

manutd |
 
★Gary Neville: "There is not a lot of fight out there, they just look like they want the game to end. They have been sleepwalking through this game [Crystal Palace], poor, really poor." [sky]★

#GGMU

manutd |
 
★Gary Neville: "#mufc have got to find something from somewhere — you expect United to be throwing everything at it, but not even some of the young lads who came on tried to do something and take a risk and win the game." [sky]★

#GGMU

manutd |
 
aliulizwa kwanini hukufanya sub ya 3

alijibu hivi "katika dk 10/15 za mwisho nilifikiria kumuingiza Amad au Shola na kumtoa Rashford, Bruno au Greenwood ila ktk dk zile nilifikiri kuwa kati ya hao mmoja wao anawezakupata goli"

huyu ndiye kocha mlienaye.
Kafikiria kuwatoa halafu na hapo hapo kafikiria wangepata goli.....kwa majibu haya huyu ni pure mbahatishaji kabisa tena hajui tu izo interview ndio zinazommaliza anajichoresha waziwazi kuwa yeye ni boya........
 
Vitu vitatu vilivyotukosesha ushindi leo:

1. Tumenyimwa penalty ya wazi pamoja na VAR kutumika.

2. Ole Gunnar Solskjaer ni kocha wa kawaida sana, United ina wachezaji wakali ila mpira wanaocheza ni kituko.

3. McTominay katulaza na viatu kama mdogo wake Rashford alivyofanya kwenye game ya Liverpool pala Anfield. Nilitegemea Scott atapiga mpira wa juu kwenye ile counter attack badala yake akapiga chini ukaishia miguuni mwa mabeki wa Chelsea.

Chelsea leo wametuzidi karibia kila kitu uwanjani, ni wazi unaona mabadiliko yao kiuchezaji chini ya Tuchel. Hapa kwa Ole tutasubiri sana.View attachment 1714270
Fungeni Magori mengi msipende kitonga
 
Ila kocha wetu wakuu sijui na genge lake wanachofikiria kwa mfano kuna wachezaj viwango vyao vipo chini sana lakin wanacheza kosa la pili kuifikiria timu ya mbele wakat ya nyuma hujamalizana nayo haya matokeo ni muendelezo wa upuuzi wa mech ya shefield united

Namuheshimu sana kocha wetu kwa kuleta umoja kwenye timu hilo kila siku ntakuwa muwazi ila hakuna kocha tutapata kama mourinho wengi mnapinga sana ila mtazidi kuelewa tu taratibu na hata aliposema kumaliza nafasi ya pili na ile timu ya wakina phil jones ni mafanikio makubwa ktk kazi yake ya ukocha vinaanza kujionesha

Mourinho aliongea sana suala la martial leo jambo lipo wazi kaongea pogba pamoja na kwamba yeye alimleta kila siku timu inasaka kiungo na si kwamba pogba mbovu hapana kumudu majukum tu huwa anazembea

Hata pep alikosea kwa wakina nolito na yule kipa alimtoa barcelona bado alisahihisha makosa

Timu imebanwa balaa leo anatoka cavan anaingia james anamtoa fred anamuingiza scott???? hao ndio anataka wakabadili matokeo


Kitu nawaza hadi muda huu kashindwa kabisa kumtumia DVB na yule dogo mwingine dialo anakwenda kupotea alisajili pelistri kapotea huko anawachukua wa nn?

Mengine tunashindwaga kuhoji hapa kwa kuwa tunaonekana tunachuki

Greenwood hastahili kumaliza dakika 90 mara ya mwisho kufunga goli mech ya liverpool kwenye FA hii ina maana gani sasa?

Kocha ambae hii timu ingempata tungelamba dume ni huyu

Josef "Jupp" Heynckes

View attachment 1716804


Huyo wangefanya mbinu za kumrudisha kufundisha mpira ni mzur sana hasa mbinu zake

Tatizo alistaafu lakin kama kuna mzigo anarudi tu huyo angeimudu hii timu

Harry maguire alipokuwa leicester city alikuwa na rekod nzur sana toka aje kwetu kawa kituko kwa sasa nahisi mbinu za kocha wetu ni mbovu kuna wachezaj wanashuka viwango kwa kasi sana

Mechi ya real socieded yule dogo amad dialo alichezeshwa upande ambao sio wake mistake nyingine hiyo kama ambavyo tumpoteza rashford yule wa van gaal kirahisi sana kwa ajili ya kumfanya martial awe center foward jambo ambalo bwana martial limemshinda tukamuuza Lukaku kwa mbwembwe kupisha hawa madogo

Hii timu isipotumia pesa kupata wachazaj wakomavu tukitegemea wakina greenwood na shola inazidi kupotea

Toka class of 92 hakuna kizazi kilichoibuka toka kwenye academy

Wakuu mnasikia tena La masia?

Mess ndio anamalizia La masia msoto unaanza.
Huyo mzee anakula mafao unataka aje awafundishe hao vilaza?
 
Back
Top Bottom