Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manure sio ndugu yako ukiona anakutesa hamia kwenye raha tu
Ni jambo la kikuma sana ! Wachezaji asilimia kubwa wanajiona mastaa wanatembea kwa kunata uwanjani, yani wanacheza kana kwamba msimu ukiisha watapewa tu ubingwa, waendelee kusubiri mammbwa, yani sisi wapenzi ndio tunaoumia sana, achana na mashabiki maandazi ambayo muda wowote yanaweza kuhama, ila ed na bodi wanamlinda kocha, wamiliki wamejificha kama hawapo vile, Mimi sijui tu, yani sahivi ukiingia old Trafford ni kama umeingia kucheza na fulham
 
Msimu huu hata kufikisha point sabini hatuwezi..sasa si utopolo tu huu kama wa misimu iliyopita?

Hii timu ina matatizo sana..tukipata mkurugenzi wa ufundi kichwa hata benchi la ufundi litaimarika na sio kujaza amateur coaches ambao hawana mbinu,ufundi wala style of play.
 
Hiyo nafasi ya Pili nayenyewe soon mnaikosa

Man utd kutoka top four msimu huu siona ajabu ...!
 
Adjustments.jpg
 
Mkuu kwa mpira wa kisasa ulivyo mahitaji ya kimbinu ni makubwa sana toka benchi la ufundi kuliko nyota ya home grown inayo mbeba Ole pale Traffolds. Kimbinu na kiufundi Ole ni mweupe kama karatasi hivyo tunahitaji mtu mwenye uelekeo mzuri kwenye maeneo hayo.
1. Nagelsmann.
2. ARTETA
 
Alipomtoa cavan na kumuingiza james kweli niliona kituko sana
aliulizwa kwanini hukufanya sub ya 3

alijibu hivi "katika dk 10/15 za mwisho nilifikiria kumuingiza Amad au Shola na kumtoa Rashford, Bruno au Greenwood ila ktk dk zile nilifikiri kuwa kati ya hao mmoja wao anawezakupata goli"

huyu ndiye kocha mlienaye.
 
Mkuu kwa mpira wa kisasa ulivyo mahitaji ya kimbinu ni makubwa sana toka benchi la ufundi kuliko nyota ya home grown inayo mbeba Ole pale Traffolds. Kimbinu na kiufundi Ole ni mweupe kama karatasi hivyo tunahitaji mtu mwenye uelekeo mzuri kwenye maeneo hayo.
1. Nagelsmann.
2. ARTETA
Kama ni hao ulioewataja basi hakuna kocha sokoni anayeweza kutuondoa hapa tulipo.
 
ama kwely tim imeoza ad inafka wakat mnamtaman kocha alieko namba 10 kwenye msimamo wa ligi au mnaionea wivu aseno ikiwa kule chini mnaiona inafaidi eeh
 
Nishajibu huko juu.....kutoka kuongoza ligi kwa pointi moja hadi kupinduliwa kuongozwa wewe kwa pointi 14..... Hata kichaa hawezi kukuelewa hapa
Unaweza kututajia mmoja ambaye atatutoa hapa ?
 
Back
Top Bottom