Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

" we should not be considered even title chasers"

This statement shamelessly ended our season.

Watanzania ccm imetuharibu sana, yani hamtaki kabisa kuambiwa ukweli.
Sosha ameona mbali na wachezaji alio nao kaona bora awaambie ukweli tu.
Sasa baada ya huo ukweli umeona boss au mashabiki wa man u pale mjini Manchester wameandamana??
Nikiwatoa nyie nyumbu wa buza, nipenibjibu hapo

Jpili mpo na city,
Tuanze kuchanga Rambirambi au tunazika kijeshi?
 
Frank Rijkaad toka afukuzwe Barcelona hajawahi kuwa na mafanikio yoyote tena zaidi ya kuwa busy body tu.

Diego Simione aje apaki basi ?

Katika kikosi chetu kuna wachezaji wawili au watatu tu wanaoweza kucheza katika mifumo Simeone
 
Frank Rijkaad toka afukuzwe Barcelona hajawahi kuwa na mafanikio yoyote tena zaidi ya kuwa busy body tu.

Diego Simione aje apaki basi ?

Katika kikosi chetu kuna wachezaji wawili au watatu tu wanaoweza kucheza katika mifumo Simeone
Frank Rijkard hana uwezo wa kudhibiti nidhamu kikosini. Barca squad ilianza kugeuka genge la wahuni. Mpira mzuri bila discipline hauleti mafanikio ya kudumu. Sishangai hajawahi kupata tena timu.

Wasichojua mashabiki wenzako wengi ni kuwa tatizo kubwa zaidi la timu yenu siyo makocha bali structure ya uongozi wa klabu. Ilivyo sasa hivi wanaofanya vetting kwa machagulio ya kocha ni watu wa scouting! Hao ndiyo humpa Woodward jibu la kwenda kumpa kocha!
 
Mkuu haya yote uliyosema yasingelikuwa na mashiko kama yale magoli anayotunyima Rashford yangeingia nyavuni.
Ronaldo na lewandoski ndo wanaongoza kukosa big chances msimu huu hiyo inakupa taswira gani? Timu isiyotengeneza nafasi haiwezi kupata magoli hata kama maforward wawe wazuri. Unajua man cty anavoshinda goli nne anakuwa kaattempt ngapi? Hivi rashford na sterling nani anakosa magoli mengi zaidi kwa msimu? Basi mkijiuliza hayo mtajua tatizo liko wapi hapo.
 
Kwa mwenendo huu wa Rashford pamoja na mwenzake Martial,nadhani ni wakati muafaka wa kuirudisha mezani hoja ya uwezo sahihi wa hao madogo wawili kama kweli wanaweza kutubeba msimu ujao au tunaendelea kucheza kamari na kumuachia Pep atuadhilishe atakavyo.

Ningependa kuona madhaifu ya mwalimu yanafichwa na ubora wa wachezaji wake kama alivyofanya Zidane na Madrid yake kabla CR7 hajawa historia pale bernabeu,lakini mapenzi ya Ole kwa hawa vijana ndio yatamfukuzisha pale OT.
Mbona hakubebwa benitez. Zidane alijua mazingira ya timu yake akatumia ubora na kuutacke uzaifu wao nd timu inakuja kufanya vizuri. Sas huwezi kuwa na kocha boya kama solkjaer umtegemee Rashford akubebe haiwezekani. Halafu hao akina Ronaldo wametengenezwa man u chini ya watu wa maan walijifunza mpira bila presha. Sasa wanachokipitia hawa madogo ngekuwa mm ningesepa na ndo maan wachezaji wanakataa kuja.
 
Ronaldo na lewandoski ndo wanaongoza kukosa big chances msimu huu hiyo inakupa taswira gani? Timu isiyotengeneza nafasi haiwezi kupata magoli hata kama maforward wawe wazuri. Unajua man cty anavoshinda goli nne anakuwa kaattempt ngapi? Hivi rashford na sterling nani anakosa magoli mengi zaidi kwa msimu? Basi mkijiuliza hayo mtajua tatizo liko wapi hapo.
Hao Ronaldo na Lewandowski wanakosa goli nyingi na wanafunga goli nyingi, kubwa mchoyo lkn uwe una deliver, ss unakuwa mchoyo alafu kufunga hujui ndo matokeo yake haya.
 
MANCHESTER UNITED ARE NOW INTERESTED WITH ME. source Maguire.com
 
Frank Rijkaad toka afukuzwe Barcelona hajawahi kuwa na mafanikio yoyote tena zaidi ya kuwa busy body tu.

Diego Simione aje apaki basi ?

Katika kikosi chetu kuna wachezaji wawili au watatu tu wanaoweza kucheza katika mifumo Simeone
Mkuu PTER nini maoni yako kuhusu nafasi ya Ole kuifikisha manchester kwenye glory days tena?
Unahisi baada ya haya tunayoyashuhudia kuna la ziada kwenye ubongo wa Ole?
Hoja ya kupewa wachezaji sahihi usiihusishe hapa kwanza,tuongelee ufundi,mbinu na style ya uchezaji timu.
 
Frank Rijkard hana uwezo wa kudhibiti nidhamu kikosini. Barca squad ilianza kugeuka genge la wahuni. Mpira mzuri bila discipline hauleti mafanikio ya kudumu. Sishangai hajawahi kupata tena timu.

Wasichojua mashabiki wenzako wengi ni kuwa tatizo kubwa zaidi la timu yenu siyo makocha bali structure ya uongozi wa klabu. Ilivyo sasa hivi wanaofanya vetting kwa machagulio ya kocha ni watu wa scouting! Hao ndiyo humpa Woodward jibu la kwenda kumpa kocha!
Mkuu tunaongelea hali ya sasa ya timu yetu,ni kweli uongozi una shida na wala hatukuwa na matumaini ya kubeba ndoo msimu huu. Ikatokea wapinzani wako wakuu WAMETELEZA unashindwaje kuitumia hiyo nafasi kufanya vizuri zaidi?
Tunachokiona kwenye kikosi cha united kwa sasa sio suala la uongozi wa juu bali uwezo binafsi wa kocha aliyepo.
Game 10 za mwisho unashinda 3,unapoteza moja halafu unadroo 6 huku ukionyesha performance ya honyo kabisa.
 
Ash Donelon★

#GGMU

manutd |
IMG_20210304_232733_492.jpeg
 
★Man Utd just can't score at the minute... show them how it's done, Ole!★

#GGMU

manutd |
IMG_20210304_225248_637.jpeg
 
★Next destination
Erling Braut Håland sees only six clubs he could join after Borussia Dortmund - #mufc, Manchester CIty, Liverpool, Real Madrid, Barcelona and Juventus★

#GGMU

manutd |
IMG_20210305_000550_424.jpeg
 
Manchester United’s financial results for the second half of 2020 showed how the Covid pandemic has hit the bottom line of the 20-time English champions.

Year-on-year revenues for the same Q2 period decreased by 7 per cent to £281.8 million. Profit is also down by 7 per cent to £33.6 million, while the club’s net debt rose by 16% to £455.5 million.
 
Thomas Tuchel kasuka backline vizuri kwa kuwatumia wachezaji waliokuwa wanaonekana vilaza tu na Lampard na wanacheza vizuri.

Azpilicueta Christensen Rüdiger

Hapa ndo ubora wa mwalimu unapoonekana..na sio kuwa mhamasishaji tu.
 
Back
Top Bottom